Sitaacha kukupa elimu ya bure kabisa.. Vijana wa Arusha wengi ni wachakalikaji na wana fedha zao.. Vijana wa Arusha huwezi fananisha na maskini wa Mwanza hata siku moja. Tuna mifano ya dhahiri kabisa vijana wachakalikaji waliotokea Arusha lakini leo hii Mwanza huwezi kunipa hata kijana mmoja mashuhuri hapa nchini.. Tuna akina Patrick Ngowi, Alberto Msando, tuna akina Millard Ayo, tuna Weusi, tuna akina Vannessa Mdee, Navy Kenzo, Nisher... Hao ni vijana baadhi tu ambao kujituma kwao kuna onyesha kunavyowalipa.. Hao ni mfano tu wa hao wavaa minyonyo wa Ngaleloo walivyo tofauti na wavua samaki wa Mwanza..
Nikikwambia nitajie mentor yeyote wa vijana huko Mwanza au anayejulikana hapa nchini akitokea huko Mwanza hayupo hata mmoja..
Definition ya HDI ni hii
"The Human Development Index (HDI) is a composite statistic of life expectancy, education, and per capita income indicators, which are used to rank countries into four tiers of human development. A country scores higher HDI when the lifespan is higher, the education level is higher, the GDP per capita is higher, the fertility rate is lower, and the inflation rate is lower." HDI haiangalii blah blah zako za kuvaa minyonyo au kuvua samaki.. Inaenda mbali zaidi na kuangalia mfumo mzima wa maisha kwenye jamii husika. Ndio maana leo hii USA pamoja na Utajiri wake wote na kuongoza kwa kuwa na viwanda na wazilishaji wa kila kitu kwenye HDI list wao ni wa nane na wamezidiwa na nchi nyingi tu kutoka ulaya kama Norway, Ireland, Netherland, Germany, Australia, Denmark na Switzerland. HDI inaonyesha hali ya ubora wa maisha kwa kaya moja moja, familia moja moja na mtu mmoja mmoja.. Kwa Tanzania mikoa yenye HDI kubwa ni Arusha, Kilimanjaro na Dar... Mikoa mitatu ya Mwisho ni Mwanza ikiwemo..
Kwahiyo kuna tofauti kubwa sana kati ya vijana wavaa suruali za kubana na maviatu makubwa wenye uhakika wa maisha na kuishi kuliko vijana wachawi wa kisukuma wanaoishi milimani kama ngedere...