Yanaenda yanapanda kila siku mji unatanuka sana, we hujiulizi miaka ya 2002 hakukuwa na barabara nzuri ni vumbi mwanzo mwisho, hata huko Dar es salaam ni nani alijenga Kariakoo...?!
we unadhani soko lile la samaki pale Mwanza wamejenga watu binafsi...?! Serikali ndio huwa inachangia maendeleo, hakuna mzawa au mtu binafsi anaweza akajenga mfano barabara hii ya Sakina Tengeru...
Mfano kipindi cha Mkapa awamu ya pili, mji ukaanza kujengwa licha ya kuwa na population kubwa lakini hakuna kilichokuwa kimefanyika...
Sasa mbona inashindana na huku mnapodai paliendelea toka muda mrefu...?! Hauoni kwa speed hiyo ya ukuaji wa mji baada ya miaka kadhaa itakuwa mbali sana...
Maana siku hizi watu wengi wamesoma hakuna ile jamii fulani haijasoma, kipindi cha Mkapa Mwanza ilikuwa ni jiji, Arusha na wenzake zimekuwa jiji kipindi cha Kikwete...
Pamoja na hayo yote bado ni jiji la pili...