FisadiKuu
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 8,337
- 13,656
TBL ni mfano maridhiwa niliouongea huko juu kwamba sehemu yenye kuzungukwa na population ya 10 Million people lazima kuwe na Investments za kulisha hiyo population.TBL ya Mwanza ni kubwa zaidi kuliko Arusha, Mwanza kuna SBL pia, Mwanza kuna clubs zaidi ya Arusha...
TBL si wajinga wasione hilo na hicho kiwanda kimewekwa kwasababu tu ya hiyo mikoa jirani inayowazunguka na si Mwanza pekee..
Ila wakati wewe ukijisifu na TBL na SBL ambazo hata Kaskazini zipo huku kuna wajanja nao wanamiliki viwanda vyao binafsi vya vinywaji. Megatrade wazalishaji wa Kiroba na K-Vant wapo Arusha na ni Mzawa na anauza kila kona ya nchi hii.. Same to Banana Investment.. Moshi kulikuwa na kiwanda cha Kibo ambacho kilikuja nunuliwa na SBL lakini bado yule mzawa ana copyright ya bia yake ya Kibo na anakula percent yake.. Kwakifupi Kaskazini wako mbele kwa uchakarikaji kuliko Mwanza..