chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 14,297
- 45,087
Kwa kweli sijafanikiwa bado kuziona naona international zao ni alliance na nyakahoja na st.Mary's ila ukiziangalia ni kama magereza ya butimba au maromboso Mkuu.Hivi mwanza wana International school (simaanishi English medium maana mangosha wanaita English medium international) namaanisha zile shule ada ni Mil 10 mpka 20 kwa mwaka...
Mkuu chongchung hebu nisaidie labda wanazo huko Mwanza