Nilichogundua kuhusu Arusha

Nilichogundua kuhusu Arusha

IMG_0436.JPG
House+rent.jpg

6e9dcabb_original.jpg


Njiro & USA River apartments.
OK Mwanza hakuna apartments kivile saaana kama chuga....but zipo chache zimekamilika zingine zipo u/c

1474578878049.jpg
1474578893347.jpg
1474578910551.jpg


1474579038465.png
 
Nikupe tu lifestyle ya Arusha naona unasema huko ni porini sababu unaona garden kubwa nzuri ni kwamba watu Wa Arusha hawajengi sehemu iliyobanana kama huko kwenu.

Arusha lazima ununue eneo kubwa utakaloweza kujenga nyumba ya maana na gardens za kufa MTU ambapo hata unaweza kupata space ya kufanyia viparty vya kifamilia kikubwa zaidi Arusha wanajali privacy ndiomana hamnaga mambo ya kiswahili huku.
Utamaduni wa Kaskazini ni nyama na bia/pombe.. Kwahiyo kama unajiweza lazima utafute eneo kubwa ili ata ukichinjwa mbuzi uite ndugu na marafiki kadhaa mchome nyama na mkate kinywaji kidogo.. Mwambie ndio kazi ya hizo garden..
 
Nikikwambia Ngurdoto imezungukwa na nyumba kila upande utakubali??
Japo overview yake inaonyesha mashamba.

Tambua arusha hamna mbanano ukiona hotel imrzungukwa na miti sio kama ipo kichakani kwanza arusha watu wanapenda kupanda miti sana hivyo unavyoona miti mingi sio kama hakuna makazi ya watu yapo hukohuko ndani ya miti.

Na hii ndio inafanya watu wanaokuja na mabasi kutoka dar waone Arusha sio kivile wanapoona road ya arusha-moshi imezungukwa na miti tu kumbe wakiingia ndani kidogo ni Habari nyingine.
Yeye kazoea nyumba inazungukwa na majabali na matumbawe...
 
miniliendaga moshi ......
yaani kale kamji ni sawa na kutoka mbagala77 had zakhiem........
sijaona sehemu ya kuishi nje ya dar
 
Hoja yako ni mfu sana, ntajishusha sana kuijadil but ngoja nkujibu....hao ni wafrika eh hapa mwanza

View attachment 405199View attachment 405200
Utalii Wa Arusha sio wa wageni watatu Arusha group moja unaweza kukuta wageni 50 hilo ni group moja labda college au school au company sometimes pale clock tower unaweza kukuta idadi ya wazungu imezidi idadi ya wenyeji pia wageni wanaoamua kubaki Arusha kama permanent residing unaweza kukuta ndio idadi ya watalii waliofika mwanza mfululizo wa miaka mitatu.

Kipindi cha high season watu wanageuza nyumba zao lodge na wanapokea watalii wakutosha ukitaka picha nakupa.
 
Mwanza pa ovyo sana. Saa tatu tu usiku ukiwa town kama ujala ujue unaweza lala na njaa,cz hata chips huwezi pata.

Halafu kuna kaeneo kao kamoja kanaitwa Salma koni,yani kila msukuma anapasifia. Kabla sijafika mwanza nilikuwa nasikia habari za Salma koni, nifikiri ni bonge la sehemu pa kujiachia. Kuja kufika, sikutamani tena kurudi. Papo local sanaa..
 
Yaani kama mwenge-bamaga-sayansi-moroko-namanga-st peter's ndio traffic light kwenye jiji zima la arusha? yaani barabara ya ali hassan mwinyi ina traffic lights nyingi kuliko mji mzima wa arusha?!
Vipi kuhusu mwanza kiongoz...zipo zipo ngapi...maan hapa ligi kubwa n kati ya mwanza na arusha...dar iweke pembeni...!
 
Hakuna hotel ya Hyatt regency arusha hyo ni proposed na labda ipo under construction, Fiona tower ni incomplete na sidhan kama imeisha, parrot hotel labda imefunguliwa Jana...aim mall haijakamilika...cjui umenielewa we mburura? Au unabisha we masai
Mara ya mwisho kufika chuga. na gari la dagaa. Ni lini weww msukumaaaa,,, mshambaaa
 
Nikikwambia Ngurdoto imezungukwa na nyumba kila upande utakubali??
Japo overview yake inaonyesha mashamba.

Tambua arusha hamna mbanano ukiona hotel imrzungukwa na miti sio kama ipo kichakani kwanza arusha watu wanapenda kupanda miti sana hivyo unavyoona miti mingi sio kama hakuna makazi ya watu yapo hukohuko ndani ya miti.

Na hii ndio inafanya watu wanaokuja na mabasi kutoka dar waone Arusha sio kivile wanapoona road ya arusha-moshi imezungukwa na miti tu kumbe wakiingia ndani kidogo ni Habari nyingine.
Mkumbushe kuwa ,,, UZUNGUNI kuna kila ya maendeleo ila uwezi kuyaona ukiwa barabarani
 
Back
Top Bottom