Nilichogundua kuhusu Arusha

Nilichogundua kuhusu Arusha

Hzo nyumba mnazopost ni za wazungu wanaoish Chuga.. cse wanapenda kujenga kwa mtindo huo....ndo mana kwa tz hzo nyumba utazikuta Chuga, mosh, even mfindi kule iringa kwenye tea estate utazikuta...hii ni kwa sababu ya hali ya hewa.....hata baadh ya wabongo pia wanazo.....but sio kwamba mikoa ambayo haina hal ya hewa kama hyo haina nyumba nzur...zpo tena sana modernised
Tuwekee picha mkuu... Kwahiyo nyumba zote hizo wanakaa waungu sio.. hahahahahaha
 
Hapo vipi??

wp978b9faa.jpg

13166670_1562490757386833_1352053181_n.jpg
Unanitishia wazungu au? Bora hata hzo house
 
Yaani kama mwenge-bamaga-sayansi-moroko-namanga-st peter's ndio traffic light kwenye jiji zima la arusha? yaani barabara ya ali hassan mwinyi ina traffic lights nyingi kuliko mji mzima wa arusha?!
5 Million population against 4 hundred thousands...
 
ha ha ila arusha ni pazuri mkuu tuache utan,kuna jamaa yang wa iringa alifika huku usa river kwa mara ya kwanza akasema atatafuta kiwanja kwa gharama yoyte ilmrad aishi huku😀😀😀😀😀
Na Meru ndio Arusha napakubali sana kuna cribs zimo kule ndani ukiingia unaweza sema upo Zurich nitaziweka hapa.
 
Back
Top Bottom