FisadiKuu
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 8,337
- 13,656
Wapo wapo tu kama manguruwe.. Kuvaa ndio sifuri kabisaDah yaani sijaona watu wanaoishi town washamba kama Mwanza yaani Mwanza ni busy village.
Wapo wapo tu kama manguruwe.. Kuvaa ndio sifuri kabisaDah yaani sijaona watu wanaoishi town washamba kama Mwanza yaani Mwanza ni busy village.
Ingia NHC uone...Hivi ile kitu ya Mateves imefikia wapi...?!
Mi huwa siingii kwenye makaratasi na maneno vitendo sifuri, mradi kwa sasa umefikia wapi...?! Na nini kimekwamisha...?! Sababu sioni maendeleo...Ingia NHC uone...
Hilo povu unalotoa kafulie boxer zakoInaonekana akili yako pia ni uchwara sio bure. Uwanja wa ndege wa Arusha upo busy baada ya ule wa Dar alafu unakuja hapa na akili zako za pombe kuongea ukilazA
Kiongozi inabidi nije Arusha nina miaka mingi sana sijafika mji huo!Ingia NHC uone...
Mama sijakuelewa unaposema Tambarare ni sehemu ndogo sana ,hivi unajua uwanja unatakiwa upanuliwe na kuna sehemu kubwa tu imetengwa kwa ajili hiyo ?Mkuu hilo najua ndio mana nkamwambia arusha huwezi kujenga uwanja mkubwa mana tambarare ni sehemu ndogo sana
Karibu sana boss.. Hutojutia safari yako. GuaranteedKiongozi inabidi nije Arusha nina miaka mingi sana sijafika mji huo!
Hiyo rockcity mall iko sehemu nzuri ila kibiashara haijachangamka hii ya nyakato yetu machoNyingine hii hapa inajengwa mwanza ujenzi wake unaanza January 2017...hii ni funga kazi....we unaona kama hakuna high and middle class people to afford such huge project...lakni wenzako wanaona kuna opportunity....hyo rockcity mall rud tena uangalie hutaamin majicho.....watu wa chuga punguzeni unaaaa
View attachment 403928View attachment 403929View attachment 403930
Kuna mradi wowote unafanywa na taasis yeyote ya serikali wakati huu?? As far as I'm know karibia miradi yote mikubwa imesimama.. Tukirudi kwenye hoja yako, huo mradi ulifunguliwa majuzi tu na uhakiki wa viwanja tayari ulishafanywa na masterplan kutolewa. Maji na Umeme pia tayari vimeshafikishwa pale ili kusupport ujenzi.. Sasa mchakato uko kwenye wazabuni..Mi huwa siingii kwenye makaratasi na maneno vitendo sifuri, mradi kwa sasa umefikia wapi...?! Na nini kimekwamisha...?! Sababu sioni maendeleo...
Mwambie asije.akapotea likikamilika hilo zulia la njia NNE Arusha Holili na bypass.Karibu sana boss.. Hutojutia safari yako. Guaranteed
Anaweza kushangaa ananyoosha goti mpaka NamangaMwambie asije.akapotea likikamilika hilo zulia la njia NNE Arusha Holili na bypass.
Beno Wa BoT juzi katoa statistics safi sana watalii bado wanamiminika Arusha usije ukategemea hata mkiboresha airport yenu mtapata mafuriko ya watalii kama Arusha sahauni.Unaumwa wewe kwa nin wasianzie kujenga Chuga kule ambako mnadai kuna matajiri wengi ambao hawalipi kodi...mpak mahotel mmeanza Kupiga bei....mnafake life mnafkr mchezo...na yatajaa popo...pimbi nyie
Sikutengemea kama ungekuwa na jeuri kama hii ya kuonyesha dharau kubwa sana kama hii kwa wana Arusha!!Cha kushangaza zaidi ni hakuna uwanja wa ndege
Cha kushangaza zaidi ni hakuna uwanja wa ndege
NdioKisongo ni Kiwanja cha Tennis?
Na Baba wa Taifa aliona umuhimu wa kuweka uwanja wa ndege wa KIA katikati ya Arusha na Moshi ili kusevu utalii kwa miji yote miwili na pia kiwanja cha kisongo kinapiga kazi kuliko kiwanja kingine kidogo Tanzania na Pia watu wafikirie kama wakazi wa Dar ususani Tazara, kinyerezi, Tabata wanaridhika na makelele na mitetemo ya ndege kubwa, ila Arusha ni city inayokuwa kwa kasi Ukianzia Kisongo kuelekea USA na yote haya maeneo yapo nje zaid ya kilomita 30 so nilzima uwanja uwekwe mbali na makazi ya watuumenena vema mkuu,umbali toka KIA hadi Arusha ni mfupi sana.