Nilicho observe Nyama Choma Festival

Nilicho observe Nyama Choma Festival

Kujipiga deki ndo habari ya mjini kwa sasa. Ila kusema ukweli wanaume mna shida, hivi mnajisikiaje mnavyo do na wanawake sura fanta mgongo pepsi? hamuogopi mchanganyiko wa rangi? Me kwa kweli mwanamke mwenzangu akijichubua namuogopa, hata akipika chakula napata shida kula.

Pokea na mwaaaa
 
Endeleeni takwimu zinaonesha wanaosumbuliwa na mashambulizi ya kansa ni wanawake(wenyekutumia cosmetics)
 
Kujipiga deki ndo habari ya mjini kwa sasa. Ila kusema ukweli wanaume mna shida, hivi mnajisikiaje mnavyo do na wanawake sura fanta mgongo pepsi? hamuogopi mchanganyiko wa rangi? Me kwa kweli mwanamke mwenzangu akijichubua namuogopa, hata akipika chakula napata shida kula.



As a pseker wa JF nakupa hoiiiiiiiiiiiii na makofi kedekede kwa kuuliza hili swali. Binafsi, demu yeyote mwenye mkorogo kwangu mimi kajamaa kangu kako sensitive hakasimami hata iweje? Nikishaona tu huyu demu ana dalili ya Wema Sepetu kajamaa kananiambia no thank you na ole wako, basi nakuwa mnyonge ghafla hata kama demu ananisalimia namwangalia tu.
 
Jumamosi nilienda kwenye nyama choma festival. Offcourse ilikuwa na watu wengi wa kila aina.

Niliwahi kuingia so I had an opportunity kupita pita almost kwenye kila angle kuangalia.

Sasa baadae nikawa nimekaa sehem na washkaji piga story mbili tatu.

Lakini kila wasichana(ladies) wakipita wengi wao ni weupe na weupe wao sio ule natural yaani unaona kabisa hapa kuna "wema type" nikajiuliza ndo style ama genes za watu weupe zimeisha?

haha siku hii nilicheza kama pele, nilimuweka wife na shost ake pale ubungo walikua wanajiskia kula kitimoto, mie nikalilia mbuzi wa nyama choma,,mie nikawaambia ntawafwata after 2hours, wale washibe..hehehe nikazama chap kuchungulia makapi kama anavyosema bwana Excel then baadae nikamrudia my waifuu..ooooh my sweety sweety ooooh mybebii oooh:biggrin1:
 
Last edited by a moderator:
Nina mtu wangu wa karibu sana, yaani alivyo, aaaah. Basi tu kila mtu ana uhuru wa kuishi atakavyo!!
 
Mshangae! Wakati watu walikuwa wamebana wowowos na wana viuno kama nyigu. Hivi Una sketi ya bigijii uniazime nione kama kiuno changu Ni cha nyigu AMA cha nyoka?

hehehehe!!! mkwe unataka uchekeshe walionuna au? halafu watu wakiwa na manyonyo makubwa wala hawasemwi ila wakiwa na mawowowo ya haja utaskia mchina huyooo. ni wivu au? wanapenda wenzao waumuke mbele nyuma wabaki flat.
 
hahaha wanatusema na vitambi vyetu, wakome kabisa.
hamna atakaecheka mkwe, ngoja nijiamini bwana. ntafutie kisketi ama gauni la bigijii, push up bra nimeshapata
hehehehe!!! mkwe unataka uchekeshe walionuna au? halafu watu wakiwa na manyonyo makubwa wala hawasemwi ila wakiwa na mawowowo ya haja utaskia mchina huyooo. ni wivu au? wanapenda wenzao waumuke mbele nyuma wabaki flat.
 
Kujipiga deki ndo habari ya mjini kwa sasa. Ila kusema ukweli wanaume mna shida, hivi mnajisikiaje mnavyo do na wanawake sura fanta mgongo pepsi? hamuogopi mchanganyiko wa rangi? Me kwa kweli mwanamke mwenzangu akijichubua namuogopa, hata akipika chakula napata shida kula.
Taa zinakuwa zimezimwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom