Nilicho observe Nyama Choma Festival

Nilicho observe Nyama Choma Festival

Hizo rangi huwa zinaambatana na harufu mbaya sana ya uvundo sasa ukute kapiga na castle lite na nyama choma ...... Dooooooh inakuwa nyama choma kabisaaaaa

Jumamosi nilienda kwenye nyama choma festival. Offcourse ilikuwa na watu wengi wa kila aina.

Niliwahi kuingia so I had an opportunity kupita pita almost kwenye kila angle kuangalia.

Sasa baadae nikawa nimekaa sehem na washkaji piga story mbili tatu.

Lakini kila wasichana(ladies) wakipita wengi wao ni weupe na weupe wao sio ule natural yaani unaona kabisa hapa kuna "wema type" nikajiuliza ndo style ama genes za watu weupe zimeisha?
 
Umenichekesha bwana wewe, baaaaa!
Tatizo kubwa akinamama huwa hawajui kuwa akili ikihamia kwa mzee abdallah jicho moja ndo maana hata watu wanazama uvinza bila tatizo. Ngoja ikirudi kichwani uone anavyojilaumu na kuapiza. Ila ikihama tena anasahau ndiyo maana machangu hawaishi. Na machangu wazee huanza kazi usiku wa manane kukiwa na giza na akili hiyooooooooo
 
Kasinde eti kuna ukweli hapa?

hamna ukweli wowote huyo aliona photocopy ya waschana wa bongo orijinale wenye rangi zetu tulitulia hatukuwa tunajipitisha.
Kwani mie umeniona nina rangi mbili?
by the way sijakuona kwenye bajaji maana ndo naelekea huko......
jioni njema ukija hunioni ng'ooo
kidali pooooo!!!
 
yaaani mdau ulikosa cha kuobserve zaidi ya rangi za wadada? ulifata nyama au mwanamke?
Haaa kiukweli nami nilikuwepo na kuna fursa nimeiona....nitajaribu kuitumia nyama choma ijayo nione kama nitapata hela kwenye hiyo fursa.....
 
Aisee na watu walikua wametupiamo ni hatare,yan pale palikua na kila ya aina ya watu,machangu na makila kitu..
Ila wanawake wanaoji carolite wananikera na kunitia kinyaa mpaka sio vizuri
 
Kwani mie umeniona nina rangi mbili?
by the way sijakuona kwenye bajaji maana ndo naelekea huko......
jioni njema ukija hunioni ng'ooo
kidali pooooo!!!

Weye ulivyo hata nashindwa ielezea rangiyo...

Heheh leo sijapita huko ila kesho tarajia surprise, nitakuja kukushika bega from behind...

Hicho kidali poo najua utalala nacho atii...
 
Haaa kiukweli nami nilikuwepo na kuna fursa nimeiona....nitajaribu kuitumia nyama choma ijayo nione kama nitapata hela kwenye hiyo fursa.....

kwakweli unistue twende wote. huwa sipendi fursa zinipite.
 
Jumamosi nilienda kwenye nyama choma festival. Offcourse ilikuwa na watu wengi wa kila aina.

Niliwahi kuingia so I had an opportunity kupita pita almost kwenye kila angle kuangalia.

Sasa baadae nikawa nimekaa sehem na washkaji piga story mbili tatu.

Lakini kila wasichana(ladies) wakipita wengi wao ni weupe na weupe wao sio ule natural yaani unaona kabisa hapa kuna "wema type" nikajiuliza ndo style ama genes za watu weupe zimeisha?

waulize wenyewe sisi hayatuhusu kila mtu na maisha yake
 
Bila,picha napata shida kweli kuelewa hizi thread za hivi
 
Weye ulivyo hata nashindwa ielezea rangiyo...

Heheh leo sijapita huko ila kesho tarajia surprise, nitakuja kukushika bega from behind...

Hicho kidali poo najua utalala nacho atii...
mie rangi yangu iko kama avatar unayoiona hapo, rangi ya kahawia

hehehehee nimeshika nguo hunidaliki ng'ooo
aisee usije fanya hivo yaani ukinishika bega kwa nyuma napiga yowe la mwizi hilo sijui kama utapona hapo kwenye bajaji hehehehheeI
la naona wameanza kuzipiga marufuku bajaji kuingia mjini sjui itakuweje kurudi kwenye noah za buku mbilimbili foleni yaani itabidi nianze kutembea tena tuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom