Tembomtata
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 266
- 427
Jumamosi nilienda kwenye nyama choma festival. Offcourse ilikuwa na watu wengi wa kila aina.
Niliwahi kuingia so I had an opportunity kupita pita almost kwenye kila angle kuangalia.
Sasa baadae nikawa nimekaa sehem na washkaji piga story mbili tatu.
Lakini kila wasichana(ladies) wakipita wengi wao ni weupe na weupe wao sio ule natural yaani unaona kabisa hapa kuna "wema type" nikajiuliza ndo style ama genes za watu weupe zimeisha?
Niliwahi kuingia so I had an opportunity kupita pita almost kwenye kila angle kuangalia.
Sasa baadae nikawa nimekaa sehem na washkaji piga story mbili tatu.
Lakini kila wasichana(ladies) wakipita wengi wao ni weupe na weupe wao sio ule natural yaani unaona kabisa hapa kuna "wema type" nikajiuliza ndo style ama genes za watu weupe zimeisha?