hayo ni makapi uliona yako sokoni....
original wamewekwa ndani tayari!
Nimependa comment yako...
hayo ni makapi uliona yako sokoni....
original wamewekwa ndani tayari!
hehehehee nimeshika nguo hunidaliki ng'ooo
aisee usije fanya hivo yaani ukinishika bega kwa nyuma napiga yowe la mwizi hilo sijui kama utapona hapo kwenye bajaji hehehehheeI
la naona wameanza kuzipiga marufuku bajaji kuingia mjini sjui itakuweje kurudi kwenye noah za buku mbilimbili foleni yaani itabidi nianze kutembea tena tuu
heheheee crash kaniachia manyoya sijamuona tena, asante ila mie matembezi naanzia posta kuja namangaMmh!! kupigiana yowe la uizi tena wakati mwenzio nipo kwenye krashi :biggrin1:
Karibu kwenye klabu yetu ya matembezi ya hisani en route namanga kwenda morocco.
heheheee crash kaniachia manyoya sijamuona tena, asante ila mie matembezi naanzia posta kuja namanga
nizame ndani eenh?
nomanya inye?
actually you did koku..!
where were you in all these days?
Jumamosi nilienda kwenye nyama choma festival. Offcourse ilikuwa na watu wengi wa kila aina.
Niliwahi kuingia so I had an opportunity kupita pita almost kwenye kila angle kuangalia.
Sasa baadae nikawa nimekaa sehem na washkaji piga story mbili tatu.
Lakini kila wasichana(ladies) wakipita wengi wao ni weupe na weupe wao sio ule natural yaani unaona kabisa hapa kuna "wema type" nikajiuliza ndo style ama genes za watu weupe zimeisha?
my machine freezes so i havve to go to jirani to access JF or to use my ka mchina which sometimes kanazingua pia.
Tell me what did i miss?