Niliacha pombe sasa hivi nimerudia ulevi tena

Niliacha pombe sasa hivi nimerudia ulevi tena

T
Wakuu habari za mda huu

Natumaini mpo wazima niliacha pombe mwaka Jana mwezi wa 7 Hadi mwaka huu mwezi wa 4 nimejikuta narudia Tena ulevi nalewa Hadi napoteza simu hii Hali siipendi kabisa niliwahi kuambiwa ni kurogwa ila kwakweli nahitaji mtu ata wa kunifanyia therapy niachane na hili tatizo

Najichukia nilivyo
Pole mkuu,hukupata kitu mmbadala ya pombe kama vile Kwenda kwenye ibada, mazoezi ,kusoma,vitabu,kujishughulisha na vibustani nk!
 
Wakuu habari za mda huu

Natumaini mpo wazima niliacha pombe mwaka Jana mwezi wa 7 Hadi mwaka huu mwezi wa 4 nimejikuta narudia Tena ulevi nalewa Hadi napoteza simu hii Hali siipendi kabisa niliwahi kuambiwa ni kurogwa ila kwakweli nahitaji mtu ata wa kunifanyia therapy niachane na hili tatizo

Najichukia nilivyo
Mimi niliacha mwaka jana mwezi wa sita ila kuna siku nilikunywa.
Mazingira ya kunywa tulikuwa tunabishana na washikaji kwamba nikionja tu pombe narudi mazima tena itakuwa nafuu ya kipindi kilichopita, nikasema sasa nakunywa halafu sitatamani tena. Nikapiga pale Tip top Jaromax Hotel tukahamia Las Carinyo na siku ya pili sikutamani na sijarudia.
Now marafiki wa pombe washazoea hali yangu.
 
Hivi hizi story za kuwa walevi hawamudu tendo la ndoa mnazitoa wapii? Sijawahi amini hiki ktu kabisa.
Hizi sio stori. Nimambo yaliyothibitishwa kisayansi pia. Huwezi kua mlevi uliepitiliza na ukawa na interest na sex, hiyo kitu haiwezekani. Kama mtu yuko tayari kuacha mwanamke ila sio pombe unaweza kuona ni kitu gani kina thamani kwake.

Ama umesahau ulevi uliopitiliza wa wanaume wa Rombo umepelekea kushuka kwa uzao wa watoto Rombo na pia kupelekea wanawake wa Rombo kukodisha wanaume kutoka Kenya baada ya wanaume zao wa Tanzania kushindwa kuwahudumia kingono kwa sababu ya ulevi? Kama walevi wanamudu ngono hawa wanawake wa Rombo walikodisha wanaume wa nini?
 
Hua nikiona pombe inasemwa vibaya namna hii kwakweli naumia sana moyo...😑
Ila pombe inasinbiziwa sana....😞
 
Back
Top Bottom