Niliacha pombe sasa hivi nimerudia ulevi tena

Niliacha pombe sasa hivi nimerudia ulevi tena

Sometimes nakuwaga na hali kama hiyo, ila nikijitathmini ni nyakati ambazo kichwa kinakuwa kina mambo mengi sana, ili kujizuia zuia muda mwingi nakunywa nyumbani tu, au nikitoka sikuhizi napiga wine na Konyagi ndogo moja tu.
 
Wakuu habari za mda huu

Natumaini mpo wazima niliacha pombe mwaka Jana mwezi wa 7 Hadi mwaka huu mwezi wa 4 nimejikuta narudia Tena ulevi nalewa Hadi napoteza simu hii Hali siipendi kabisa niliwahi kuambiwa ni kurogwa ila kwakweli nahitaji mtu ata wa kunifanyia therapy niachane na hili tatizo

Najichukia nilivyo
Bora nimekutana na ndugu yangu leo.. Mimi ni kama wewe kaka, kila kitu ulichoeleza hapa.. Kwa kweli hata mimi napambana sana kuondokana na pombe lakini hadi sasa imekuwa kikwazo.
 
Basi huacha kwa kudhamiria bali kwa hofu, thamiria sasa kuacha , anza kuondoa vishawish, kama marafiki, au madem chochote kile kinachokupelekea kurudi huko
And yes inawezekana

Anza kuounguza kidogo kidogo
Kwanini aache 😂😂😂😂

Apunguze tu asiwe Mlevi.
Madhara yasiwe makubwa.
 
Bora nimekutana na ndugu yangu leo.. Mimi ni kama wewe kaka, kila kitu ulichoeleza hapa.. Kwa kweli hata mimi napambana sana kuondokana na pombe lakini hadi sasa imekuwa kikwazo.
Pole na ww bro.

Ila mbona bia ukinywa kistaarabu haina shida sana.
Kunywa kama kufurahia, na kupoteza muda na kunywa bia unayoimudu.

Kvant, Konyag na safar na zile ngumu kwanza unaamka asubuh umechoka na hangover juu.
Kwann kujitesa namna hii.
 
Endelea kunywa mkuu.

Kuna dogo flani alioa ex wangu, halafu akawa anakunywa pombe balaa, wakimwambia acha pombe anasema bora kuacha mke kuliko kuacha pombe.

Binti akaona ya nini mimi nife na utamu wangu, akaniletea mwenyewe kwa kunibembeleza, baba naomba unile, jamaa hanifanyi chochote. Sasa najilia vyangu na dogo analea familia yangu kiroho safi.

Kuna mwingine tena anaendekeza ulevi, mimi namsaidia kutunza mke. Huyu ananifurahisha sana anajua kuimba akishika microphone hadi raha.
 
Pole na ww bro.

Ila mbona bia ukinywa kistaarabu haina shida sana.
Kunywa kama kufurahia, na kupoteza muda na kunywa bia unayoimudu.

Kvant, Konyag na safar na zile ngumu kwanza unaamka asubuh umechoka na hangover juu.
Kwann kujitesa namna hii.
Tatizo bia kama hizi castle lite naona zinajaza tu tumbo kichwa kinachelewa kuwaka... safari ina ukali wake
 
Endelea kunywa mkuu.

Kuna dogo flani alioa ex wangu, halafu akawa anakunywa pombe balaa, wakimwambia acha pombe anasema bora kuacha mke kuliko kuacha pombe.

Binti akaona ya nini mimi nife na utamu wangu, akaniletea mwenyewe kwa kunibembeleza, baba naomba unile, jamaa hanifanyi chochote. Sasa najilia vyangu na dogo analea familia yangu kiroho safi.

Kuna mwingine tena anaendekeza ulevi, mimi namsaidia kutunza mke. Huyu ananifurahisha sana anajua kuimba akishika microphone hadi raha.
Kwasababu ww hunywi sio?.

Mwanamke huyo huyo ambaye anamsaliti mume wake kwa ajili ya pombe ipo siku atakusaliti na ww ambae haunywi.

Ndio utajua pia Maranyingne usaliti wanawake wanasingizia kitu chochote Ili kutimiza adhima yao.
 
Serious kabisa niliwahi kukaa kama wiki hivi na moja ya walimu wanaofundisha jamaa wa SF niliwahi mlalamikia jambo kama hilo yapo machache aliniambia ilikuwa msibani mwanza miaka ya nyuma kidogo :

1. Sema kidogo, sikiliza Sanaa

2. Fanya zaidi ya unavyohaidi

3. WEKA NENO LAKO KUWA SHERIA KWA NAFSI YAKO (ZINGATIA).

4. Fanya mazoezi hata kama hakuna mtu anayeona

5. Kata kabisa maneno ya kulalamika lalamika

6. Jifunze kusema "HAPANA" kimya bila hasira (Maugomvi ya bar, majirani n.k)

7. INAPOKUBIDI KUFANYA FANYA HAKUNA MAJUTO.....

chambua ya muhimu kwako mengine hayakuhusu hapo...
 
Personaly nliacha mtungi for 4 years straight . Na reason ilikua kuzinguana na wife.
Then nkarudia tena but siku hz nakunuwa kitajiri
Kwanza sinywi pombe kali made in Tz hata moja. Ikibidi kunywa makali nakunywa tequila (brand inategemeana na hela nlionayo that day).
Bia nakunywa rarely.
In short after hyo hiatus ya kulewa these days nakunywa once in a while.
Cha kufanya make sure uko busy sana, you wont get time ya kuwaka kifala
 
Back
Top Bottom