St Lunatics
JF-Expert Member
- Aug 29, 2015
- 6,644
- 11,195
Haya masuala yako ndio changamoto ya maisha yangu kwa sasa nimeachana na demu wangu wa miaka 12 ni ex-wangu lakini tumekuwa marafiki muda wote ila sasa nimemwambia acha nimove on na life yangu. hakupendelea lakini ndio uamuzi wangu.