Niko njia panda

Niko njia panda

Haya masuala yako ndio changamoto ya maisha yangu kwa sasa nimeachana na demu wangu wa miaka 12 ni ex-wangu lakini tumekuwa marafiki muda wote ila sasa nimemwambia acha nimove on na life yangu. hakupendelea lakini ndio uamuzi wangu.
 
Wewe kwa sasa mwachilie atakapokuja na sababu zake mpe ukweli wa moyoni,hapa hata tukikupa ushauri gani lakini wewe ndie muamuzi wa mwisho. kuna mshkaji wangu namkumbuka tulikuwa tunampa ushauri mwisho wa siku humwambia demu wake ushauri wote tuliompa, na demu wake anatuona kama wanga wake. Nakupa ushauri huu ikiwa umemkuta kishafanya sex(hayupo bikira) basi usiwe na wivu. Aliejenga nyumba ni mtu mmoja ila wakaazi ni wengi. nategemea umenifahamu
 
Duh umenikumbusha miezi kama nane iliyopita, mwenzio niliblokiwa kuanzia instagram, facebook,na kote unakokujua ila nilipiga moyo konde nikamove on na yeye anaenjoy maisha na mtu wake, huku akiniacha njia panda bila ya kujua la kufanya

Naomba Mungu anivushe salama mwaka huu,ila nikushauri kitu

Kumuacha mwanamke unayempenda ni ngumu kuliko kitu chochote hapa dunian yani ni rahisi zaidi ya jakaya kuamia ukawa kwa sasa, ila inaitaji courage kufanya hivyo na itafika muda utasahau tu
 
Boom lenyewe la mawazo akae na kiboifrend afe njaa, we unamuamsha alfajiri akapande sijui sabena teh tulia bana mtoto yupo ndani ya private car, kavaa kigauni kifupi, anakula kiyoyozi dereva anachange gia huku mkono pajani....maisha ni matamu haki a mama

Huwa najaribu kuwaanda kisaikolojia vijana wakubaliane na ukweli kuwa kabla hujamuoa ujue haupo peke yako!! napataga upinzani mkubwa sana, lakini ukweli ndo huo, na hivi ni long distance relationship ndo kabisaaaaa.

Hapo ni wazi kablock jamaa temporarily ili asimletee kiwingu 'jamaa mpya' aliyenaye akagundua
 
Huwa najaribu kuwaanda kisaikolojia vijana wakubaliane na ukweli kuwa kabla hujamuoa ujue haupo peke yako!! napataga upinzani mkubwa sana, lakini ukweli ndo huo, na hivi ni long distance relationship ndo kabisaaaaa.

Hapo ni wazi kablock jamaa temporarily ili asimletee kiwingu 'jamaa mpya' aliyenaye akagundua

Ukweli unauma, afu akili huwa haitaki kukubali kama kidudu kinatumika na kwingine hata mi sikubali kwakweli
 
Bado mdogo sana boy, subiri atleast ufikishe miaka 28, uanze mahusiano, then 30 uoe. Hapa utachanganyikiwa bure. Halafu demu mwenyewe ni mangi....kakutana na mwenye kisu kirefu
 
Mwanaume mzima unalizwa na kademu kamoja tu??? Jinga wewe
 
Inawezekana ni kweli amesafiri. Lakini kwa mambo yake hayo, inaonesha kuna mtu yupo zaidi yako ndiyo anawasiliana nae kwa sasa na labda ndiyo wanaenda kukutana. Siyo kama nakuumiza moyo lahasha ila mambo haya yapo. Ana babie mpya.

shukrani kwa ushauri mkuu....nmekusoma.ila inauma saana
 
Haya masuala yako ndio changamoto ya maisha yangu kwa sasa nimeachana na demu wangu wa miaka 12 ni ex-wangu lakini tumekuwa marafiki muda wote ila sasa nimemwambia acha nimove on na life yangu. hakupendelea lakini ndio uamuzi wangu.

nmekusoma mkuu..point taken
 
Bado mdogo sana boy, subiri atleast ufikishe miaka 28, uanze mahusiano, then 30 uoe. Hapa utachanganyikiwa bure. Halafu demu mwenyewe ni mangi....kakutana na mwenye kisu kirefu

Asnte kwa ushauri mkuu...ubarikiwe sana
 
Back
Top Bottom