Habarini za wekend wadau....naombeni mnisaidie kimawazo.umri wang ni miaka 24.ni muajiriwa serikalin huku Dodoma,wilaya ya Mpwapwa,lkn home ni Iringa.nna Girlfriend wangu ambaye yupo chuo cha RUCO kilichopo iringa,,nmedumu naye takriban mwaka mmoja na nusu,ingawa tumepitia changamoto nying sana lkn tumeweza kudumu pamoja na hatimaye kusonga mbele.siku ya tar 17 alinipigia simu kunijulisha kuwa tarehe 18 ambapo ni siku ya ijumaa ana TEST,,hvo akimaliza hyo test ataangalia utaratibu wa kusafir ingawa chuo kinafungwa tar 23,aliniambia kuwa atafanya hvo kwa sababu hakutakuwa na mishe yoyote,hvo akiendelea kubak hapo ataboreka.mm nkaridhia,,siku ya jana jion akanijuza kuwa kesho ambapo ni leo kuwa atasafir kama alivonijuza mwanzon na aliniambia kuwa ataondoka na Gar ya sa 12,,,akaniambia kuwa anaenda Dar es salaam kusalimia ndugu...ila kwao ni MOSHI.mm nkaridhia,nkamtakia safar njema.mida ya saa nne tulifanikiwa kuongea zaid na kutakiana uck mwema.....PICHA NDO IKAANZA KULIVO KUCHA.
Nlipanga niwah kumuamsha ili awah hyo gar ya sa 12,lkn nkajikuta nmepitiwa na usingizi.nmekuja kuamka baada ya sa 12 asubuh,ambapo nlishangaa kutokukuta sms wala call ya kunijulisha kama kaondoka ama la.nliamua kumtumia text,kumuomba samahan nanukuu ,,SAMAHAN NMECHELEWA KUAMKA,NLIPITIWA NA USINGIZ HVO KUSHNDWA KUKUAMSHA KWA WAKAT ILI UWAH GAR,,, ikapokelewa lkn haikujibiwa.nkaamua nitume tena text ya kumtakia safar njema,nayo ikapokelewa lakin haikujibiwa.nkaendelea kuvuta subira mpaka mida ya sa tano,lkn bado alikuwa kimya.nkaamua nimpigie cm,nmejarib kama mara 20 kwa kutumia namba yangu ya voda,naambiwa namba busy...nkahis kuwa AMENIBLOCK lkn nkapuuza hlo wazo,nkaamua nitumie tena namba yangu ya Tigo lkn nlipata matokeo yaleyale.nliamua kujipa moyo na kuamin kuwa wenda anaongea na simu nyingine.nkawa natuma tu sms zinaonyesha deliverd lakn hazijibiw...nmekaa saa moja na nusu..nmemtafuta tena lkn matokeo ni yaleyale.nkaamua kuingia WHATSAPP nkaangalia namba yake anayotumia humo wasap ambapo mara ya kwanza ilikuwa inaonyesha last seen,status pamoja na profile picture..lkn vyote hvo havionekan saiv..nkawa bado siamin kuwa AMENIBLOCK..ghafla likanijia wazo,la kutaka kufanya confirmation,binafsi wasap natumia namba ya tigo..cjawah badili namba.na yeye anafahamu hvo,,nliamua kwenda kwenye account yang ya wasap na kubadili namba,nkaweka namba ya voda.halafu nkarefresh nkarud tena kuangalia ileile namba yake anayotumia wasap....maajabu ndugu zangu,nkakuta profile picture ipo kama kawaida na last seen inaonyesha ni saa Nane na dkka 50 mchana huu.hakika nmejikuta natetemeka,na sijataka kuliamin hili tukio...nmekuja kuhakiki kuwa hata namba yangu ya wasap ameiblock pia..
Nisaidien kimawazo ndugu zanguni,nifanye nn..maana kiukweli nashndwa kuamin..cjagombana naye zaid ya changamoto za kawaida katika mahusiano...pia cjaelewa kama kasafir ama laa,
NATANGULIZA SHUKRANI ZANGU ZA DHATI KWENU NYOTE