Niko njia panda

Niko njia panda

Be a man brazza...
Just chill she will come back after these holidays coming and she knew it b4 you are a Teacher...you do not have doo!!!

ahsante kwa ushauri mkuu
 
Be a man brazza...
Just chill she will come back after these holidays coming and she knew it b4 you are a Teacher...you do not have doo!!!

Shukran kwa ushauri mkuu.
 
Ndo wanavyofanyaga watoto wachuo ambao wanaishi home na wazaz,ikishakaribia likizo anawahi kuondoka chuo huku home wakijua bdo yuko chuo anaenda kugongeka kwa kidume then baada ya siku kadhaa ama wiki ndo anajifanya kurudi nyumbani akizuga katokea chuo,huyo alishaanza kuonyesha dalili mapema ila you was too blind,to see.Ushauri wangu anza mchakato wakutafuta mwenza mpya,huyo hata akija kwa magoti usimkubalie,hafai hata kwa kulumangia na kachumbari,piga chini na umsahau


Nimekusoma broo,shukrani sana kwa ushauri wako
 
kaza moyo,mapenzi yasikwendeshe hivyo-kuna vitu vingi vya kuafanya zaid ya mapenzi,msahau na endelea na maisha-binafsi mishe kama hizo wala sinaga presha kabisa-sijui nikoje

Ahsante sana kwa ushauri mkuu
 
Miaka 24 bado huko mdogo ndio umezama kwenye mapenzi kama enzi zangu..usipoteze mda mpenzi sahii utampata baada kufikisha miaka 27 na kuendelea..hayo uliyonayo ni mapenzi ya chuo..achana naye chukua zako

Ahsante kwa kunitia moyo mkuu,
 
Amka wewe usinziaye yasije kukuta mabaya zaidi.Tangu nijue kanuni za mapenzi wala hayanisumbui unajua kwa nini? Wanasema mapenzi yanawasumbua wajinga...umpendaye hakupendi sasa maana yake nini...anacheza na akili yako hebu badili mchezo sasa wewe cheza na akili yake.Usimtafute kwa njia yoyote Fanya kama vile alishafariki dunia hata kama itakuumiza sana jitahidi msahau anza na mwezi 1 asipokutafuta jua hukuwa anakupenda ila wewe tu hukujua endelea na maisha yako bila yeye

Ahsante kwa ushauri mkuu
 
As i was reading nimejikuta mwil unasisimka naona kama n mm ndo nimefanyiwa ivyo,,,i dnt want to draw a conclution here ila mkuu umepigiwa,,,i dnt know ila wanawake wanakuaga na mambo flan yaajabu kinoma aisee coz kwenye stuation km iyoshe could have told you somethng either muachane ila from no where anakufanyia ivo,,,,pole sana mkuu m pia i have the very same scenario ila m ilizimwa bt i was in the middle of it,,i mean nilikua kat kat ya mapenz and sudenly nkapata suprise,,,piga moyo konde move on ila ujue ndo unakua ivo lazma upitie tanuri la moto il uwe a real men,,,,pole sana mkuu
 
Mapenzi yana run dunia kaka,

jipe moyo kuna wengine wana makuu kuliko yako na wanasonga mbele.

Omba Mungu akutie nguvu uwe na amani ndilo la msingi.
 
shukran kwa ushaur mkuu

Its seems you are too humble and too kind,and girls dont like you to treat em like fragile eggs,to theme being too nice = boring,so learn to be a man,siyo unazidisha ustaarabu mpaka unakuwa ka zuzu,make her mad once in a while,make her cry then make her lough after,a lil fight here and there,be adventurous and unpredictable fool of suprises,make her understand how worthy you are,Creat an aura of curiousity and noughtiness.control her emotions n don let her play with yours.

Damn im high AF
 
Ukweli ni kwamba inakera sana. Alitakiwa akujulishe kuwa kafanya maamuzi ya kubadili gia angani.

Ingawa siyo vizuri kuongea naye, nakushauri kama unaweza kumtafuta kwa namba nyingine kabisa, mpigie halafu usikie anajikanyaga nini. Vinginevyo, utakuja kuletewa hadithi za kuibiwa simu na upuuzi mwingine ili uendelee kuwa kwenye waiting list.

Ni vizuri kuhakikisha (kama inawezekan) ili uanze mwaka kwa amani!

Inatia hasira sana aisee

Retired mzima mie poa........hahahaha atasingizia alisinzia kwenye basi unajua mwendo mrefu iringa Dar.......kweli inakera unapomtafuta mtu yeye hana habari baadae analeta habari hazieleweki.
 
Mkuu pole Sana, nimechelewa kuona post yako! Haya mambo yapo Sana, hawa ndio dada zetu... Cha kufanya kwa sasa wewe gugumia tu. usimwambie lolote, then next time usipende kwa Moyo, penda kwa akili. Halafu unapokua Na distance relationship hakikisha unakua Na GOMA lingine hapo ulipo ikiwezekana wawili, hii itakusaidia kuwaona wanawake Kua ni viumbe wa kawaida kwakua Moyo wako hutojikita kwa mdada mwengine.. Mwisho Kabisa jiweke bize Na shughuli unayofanya sasa Huko Dom, ukiwa Na Pesa unakua mwanamke unaemtaka wewe. Acha kuangahaika Na mawe, kuna dhahabu Mbele yako hapo, sio mbali kuna inayo.
 
[h=2]Ushauri: Najuta kuingia kwenye mahusiano[/h]
Habarin za jioni wana MMU.

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 24,nina kazi ambayo inaniingizia kipato changu kinachonikimu ktk maisha nipo kwenye mahusiano na binti mmoja kwa takribani mwaka mmoja sasa, ambaye pia ana kipato chake kizuri tu,tumekuwa tukisaidiana katika shida na raha, wiki moja iliyopita huyu binti, aliniambia kuwa amepatwa na shida ambayo inagharimu kiasi cha shiling laki nne na akaniahidi atanirudishia mwezi wa kwanza, hivo akaomba nimuazime.

Huyu binti namshirikisha kwenye mambo mengi sana, ikumbukwe nilishawahi kumshirikisha malengo yangu,na pia nikamjulisha kiaisi ambacho kinahitajika ili hayo malengo yaweze kutimia na pia isitoshe nikawa nmemjulisha kiasi ambacho nimefanikiwa kukikusanya na kukihifadhi katika account yangu ya akiba.Maana nlipanga kufikia 2016 mwezi wa 7 niweze kuanza kutekeleza hayo malengo yangu,vyote hvo nilimshirikisha.

Hivo alivyonifuata kuomba nimuazime hyo hela alijua kabisa siwezi kumnyima kiukweli kutoka moyoni sikupanga kabisa kuigusa hyo hela maana nafahamu madhara yake,nlikuwa nathubutu hata kujinyima mwenyewe kipindi nmekosa hela, niko tayari nitafute hela sehemu nyingine ili mrad tu saving account yang ibaki salama.

Baada ya yeye kuniahidi kuwa hyo hela itarudi mwezi wa kwanza kama ilivyo nkawa nmeamua kumkabidhi hyo laki nne.Juzi kati tar 20 siku ya ijumaa ya mwezi huu tukiwa tunachat akaniambia kuwa anashukuru kwa kumkabidhi hiyo pesa, mimi nkamuambia asijali ila nkamuomba anirudishie hyo pesa mwanzoni mwa huo mwezi wa kwanza.Hapo ndo ugomvi ulipoanzia, akaniambia kuwa mimi sina utu wala ubinadamu na nina roho ya kinyama,maana haiwezekani nimuazimishe pesa hata wiki mbili hazijapita naanza kumdai hivi wadau iko sawa kweli hii? Akawa amekasirika sana, siku ya jana usiku akanipigia tena akaongea tena maneno yaleyale kwa hasira sana, akasema kuwa amemuomba mtu amuazime hela ili anirudishie na hatothubutu tena kuniomba ama kuazma chochote kutoka kwangu.

Nimejaribu kumuomba sana na kumsihi kuwa mimi sikumaanisha anipe saivi ila nichosema ni kwamba anipe mwanzoni mwa huo mwezi wa kwanza.anasema kuwa lazima anirudishie ndani ya wiki hii maana mtu aliye muomba hawezi kumzuia asitume kwa madai ya kuwa anaogopa siku atakapo muomba tena ataonekana anamtania nipo njia kuu wadau yaani sijui nifanyaje,je nmemkosea nini? Maana tangu hiyo jana usiku hatujaongea wala hajanitafuta mpaka saivi simu hapokei, najiuliza je,ana mpango gani na mimi? Mbona ananifanyia vitimbwi vya ajabu hvi? Pia nafikia mahali najuta kumshirikisha huyu mtu mambo yangu,wenda asingefahamu nina kias gani cha pesa pia najiuliza kwa hayo yanayotokea nini hatima yake?

Samahani kwa thread ndefu wadau ila nna huzuni sana, maana sijui hatima ya huu uhusiano na pia sijui hatima ya pesa yangu maana simu hapokei, naomba mnishauri ndugu zangu, maana naiona dunia chungu.

Man,,,,huyo dada unayemzungumzia ndo huyu au huyu ni mwingine​
 
maana nimeona kuna post nyingine yako umemzungumzia dada,,,asa ndo huyu au

Habarin za jioni wana MMU.

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 24,nina kazi ambayo inaniingizia kipato changu kinachonikimu ktk maisha nipo kwenye mahusiano na binti mmoja kwa takribani mwaka mmoja sasa, ambaye pia ana kipato chake kizuri tu,tumekuwa tukisaidiana katika shida na raha, wiki moja iliyopita huyu binti, aliniambia kuwa amepatwa na shida ambayo inagharimu kiasi cha shiling laki nne na akaniahidi atanirudishia mwezi wa kwanza, hivo akaomba nimuazime.

Huyu binti namshirikisha kwenye mambo mengi sana, ikumbukwe nilishawahi kumshirikisha malengo yangu,na pia nikamjulisha kiaisi ambacho kinahitajika ili hayo malengo yaweze kutimia na pia isitoshe nikawa nmemjulisha kiasi ambacho nimefanikiwa kukikusanya na kukihifadhi katika account yangu ya akiba.Maana nlipanga kufikia 2016 mwezi wa 7 niweze kuanza kutekeleza hayo malengo yangu,vyote hvo nilimshirikisha.

Hivo alivyonifuata kuomba nimuazime hyo hela alijua kabisa siwezi kumnyima kiukweli kutoka moyoni sikupanga kabisa kuigusa hyo hela maana nafahamu madhara yake,nlikuwa nathubutu hata kujinyima mwenyewe kipindi nmekosa hela, niko tayari nitafute hela sehemu nyingine ili mrad tu saving account yang ibaki salama.

Baada ya yeye kuniahidi kuwa hyo hela itarudi mwezi wa kwanza kama ilivyo nkawa nmeamua kumkabidhi hyo laki nne.Juzi kati tar 20 siku ya ijumaa ya mwezi huu tukiwa tunachat akaniambia kuwa anashukuru kwa kumkabidhi hiyo pesa, mimi nkamuambia asijali ila nkamuomba anirudishie hyo pesa mwanzoni mwa huo mwezi wa kwanza.Hapo ndo ugomvi ulipoanzia, akaniambia kuwa mimi sina utu wala ubinadamu na nina roho ya kinyama,maana haiwezekani nimuazimishe pesa hata wiki mbili hazijapita naanza kumdai hivi wadau iko sawa kweli hii? Akawa amekasirika sana, siku ya jana usiku akanipigia tena akaongea tena maneno yaleyale kwa hasira sana, akasema kuwa amemuomba mtu amuazime hela ili anirudishie na hatothubutu tena kuniomba ama kuazma chochote kutoka kwangu.

Nimejaribu kumuomba sana na kumsihi kuwa mimi sikumaanisha anipe saivi ila nichosema ni kwamba anipe mwanzoni mwa huo mwezi wa kwanza.anasema kuwa lazima anirudishie ndani ya wiki hii maana mtu aliye muomba hawezi kumzuia asitume kwa madai ya kuwa anaogopa siku atakapo muomba tena ataonekana anamtania nipo njia kuu wadau yaani sijui nifanyaje,je nmemkosea nini? Maana tangu hiyo jana usiku hatujaongea wala hajanitafuta mpaka saivi simu hapokei, najiuliza je,ana mpango gani na mimi? Mbona ananifanyia vitimbwi vya ajabu hvi? Pia nafikia mahali najuta kumshirikisha huyu mtu mambo yangu,wenda asingefahamu nina kias gani cha pesa pia najiuliza kwa hayo yanayotokea nini hatima yake?

Samahani kwa thread ndefu wadau ila nna huzuni sana, maana sijui hatima ya huu uhusiano na pia sijui hatima ya pesa yangu maana simu hapokei, naomba mnishauri ndugu zangu, maana naiona dunia chungu.

Natanguliza shukurani kwenu nyote
 
Jitahidi umalizane naye ili uanze mwaka na mambo mapya....

Kuna dada mmoja aliniacha kwa kejeli sana enzi hizo. Basi nikamsimulia shemeji yangu ambaye alinambia kitu ambacho sitakisahau. Alisema kuwa, "achana na huyo binti na umshukuru kwa kakuaachia nafasi; kwani kwa umri wako wasichana wanaokuhitaji ni wengi sana. Ila huyo binti hakujua kuwa kapoteza lulu". Miaka kama 10 baada ya hilo tukio alinijia kwa kilio na machozi kibao eti nimsamehe na kumpa nafasi pamoja na kwamba nilikuwa na mke na watoto. Jibu langu lilikuwa simple, "nimekusamehe ila mlango ulishafungwa". Hadi leo anahangaika uzeeni.

Malizana naye halafu uone jinsi malipo yalivyo hapa hapa duniani. Utakuwa na amani kama vile umezamishwa kwenye mto Yordan!

Mkuu Dark City andiko lako hakika limefariji wengi humu!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom