Niko njia panda

Niko njia panda

Pole sana mkuu BILGERT kwa yaliyokufika ila naomba usihuzunike sana na kusikitika. If it wasnt meant to be it wasnt meant to be. Mshukuru Mungu kwa kukufunukia na kukuonyesha tabia halisi ya mwanamke uliye naye. Huwezi jua pengine angeweza kukufanyia makubwa zaidi huko mbele ya safari endapo mngeendelea na uhusiano wenu ambayo yangeuumiza sana moyo wako.

Najua jinsi gani na unaumia kutokana na uliyofanyiwa na uliyempenda, lakini maumivu yote hayo yatakwisha tu kadiri siku zinavyozidi kwenda maana hakuna marefu yasiyokuwa na ncha. Kidonda ulicho nacho kitapona haraka endapo utajitahidi kukitibia ili kipone. Kumkosa huyo mwanamke sio mwisho wa maisha yako kwani yupo mwanamke bora kwa ajili yako ambaye Mungu alikuandalia tangu kuumbwa kwako, she is out there looking for you. So usikate tamaa cuz ukikata tamaa utamkosa huyo mwanamke ambaye Mungu ameakuandalia. Piga moyo konde kaka, inuka, pull up your socks and move on with your life.
 
Last edited by a moderator:
Duh umenikumbusha miezi kama nane iliyopita, mwenzio niliblokiwa kuanzia instagram, facebook,na kote unakokujua ila nilipiga moyo konde nikamove on na yeye anaenjoy maisha na mtu wake, huku akiniacha njia panda bila ya kujua la kufanya

Naomba Mungu anivushe salama mwaka huu,ila nikushauri kitu

Kumuacha mwanamke unayempenda ni ngumu kuliko kitu chochote hapa dunian yani ni rahisi zaidi ya jakaya kuamia ukawa kwa sasa, ila inaitaji courage kufanya hivyo na itafika muda utasahau tu

Ahsante kwa ushauri kamanda,ila kinacho niuma cjamkosea chochote...kwa nn anifanyie hivo
 
Pole sana mkuu BILGERT kwa yaliyokufika ila naomba usihuzunike sana na kusikitika. If it wasnt meant to be it wasnt meant to be. Mshukuru Mungu kwa kukufunukia na kukuonyesha tabia halisi ya mwanamke uliye naye. Huwezi jua pengine angeweza kukufanyia makubwa zaidi huko mbele ya safari endapo mngeendelea na uhusiano wenu ambayo yangeuumiza sana moyo wako.

Najua jinsi gani na unaumia kutokana na uliyofanyiwa na uliyempenda, lakini maumivu yote hayo yatakwisha tu kadiri siku zinavyozidi kwenda maana hakuna marefu yasiyokuwa na ncha. Kidonda ulicho nacho kitapona haraka endapo utajitahidi kukitibia ili kipone. Kumkosa huyo mwanamke sio mwisho wa maisha yako kwani yupo mwanamke bora kwa ajili yako ambaye Mungu alikuandalia tangu kuumbwa kwako, she is out there looking for you. So usikate tamaa cuz ukikata tamaa utamkosa huyo mwanamke ambaye Mungu ameakuandalia. Piga moyo konde kaka, inuka, pull up your socks and move on with your life.

Nakushukuru sana Mkuu kwa ushauri wako Murua,Mungu akubariki sana.hakika,ntaufanyia kazi huu ushauri,na nina amini utanisaidia
 
Wewe kwa sasa mwachilie atakapokuja na sababu zake mpe ukweli wa moyoni,hapa hata tukikupa ushauri gani lakini wewe ndie muamuzi wa mwisho. kuna mshkaji wangu namkumbuka tulikuwa tunampa ushauri mwisho wa siku humwambia demu wake ushauri wote tuliompa, na demu wake anatuona kama wanga wake. Nakupa ushauri huu ikiwa umemkuta kishafanya sex(hayupo bikira) basi usiwe na wivu. Aliejenga nyumba ni mtu mmoja ila wakaazi ni wengi. nategemea umenifahamu




Ahsante kwa ushauri mkuu...point noted
 
Nakushukuru sana Mkuu kwa ushauri wako Murua,Mungu akubariki sana.hakika,ntaufanyia kazi huu ushauri,na nina amini utanisaidia

Mkuu BILGERT, some things in this world do change and some them never change. So even people do change. What has happened...has happened. You cant change the past but you can take control of the future. Just accept what has happened and move on with your life.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu unawezaje kumdate mwanaChuo afu ukajiachia hivyo?? Mkuu wanachuo hawafai muwekwa ndani, hao ni Wa kugegedwa tu
 
Boom lenyewe la mawazo akae na kiboifrend afe njaa, we unamuamsha alfajiri akapande sijui sabena teh tulia bana mtoto yupo ndani ya private car, kavaa kigauni kifupi, anakula kiyoyozi dereva anachange gia huku mkono pajani....maisha ni matamu haki a mama

Taratibu dada utaua mtu kwa presha
 
Kuwa mvumilivu akimaliza shughuri zake atakutafuta
 
Amka wewe usinziaye yasije kukuta mabaya zaidi.Tangu nijue kanuni za mapenzi wala hayanisumbui unajua kwa nini? Wanasema mapenzi yanawasumbua wajinga...umpendaye hakupendi sasa maana yake nini...anacheza na akili yako hebu badili mchezo sasa wewe cheza na akili yake.Usimtafute kwa njia yoyote Fanya kama vile alishafariki dunia hata kama itakuumiza sana jitahidi msahau anza na mwezi 1 asipokutafuta jua hukuwa anakupenda ila wewe tu hukujua endelea na maisha yako bila yeye
 
Miaka 24 bado huko mdogo ndio umezama kwenye mapenzi kama enzi zangu..usipoteze mda mpenzi sahii utampata baada kufikisha miaka 27 na kuendelea..hayo uliyonayo ni mapenzi ya chuo..achana naye chukua zako
 
Ah wewe nae bwana wa kwako ukiwa nae akisepa wakila mtu...wajanja walisha mgegeda huyo
 
kaza moyo,mapenzi yasikwendeshe hivyo-kuna vitu vingi vya kuafanya zaid ya mapenzi,msahau na endelea na maisha-binafsi mishe kama hizo wala sinaga presha kabisa-sijui nikoje
 
It's not easy to understand it son
But I hope you'll make it [x3]
You'll be happy again..
 
Ndo wanavyofanyaga watoto wachuo ambao wanaishi home na wazaz,ikishakaribia likizo anawahi kuondoka chuo huku home wakijua bdo yuko chuo anaenda kugongeka kwa kidume then baada ya siku kadhaa ama wiki ndo anajifanya kurudi nyumbani akizuga katokea chuo,huyo alishaanza kuonyesha dalili mapema ila you was too blind,to see.Ushauri wangu anza mchakato wakutafuta mwenza mpya,huyo hata akija kwa magoti usimkubalie,hafai hata kwa kulumangia na kachumbari,piga chini na umsahau
 
Be a man brazza...
Just chill she will come back after these holidays coming and she knew it b4 you are a Teacher...you do not have doo!!!
 
Back
Top Bottom