Mjukuu wa mama
Member
- Sep 18, 2023
- 14
- 20
Habari wanaJf, mimi ni kijana niliyehitimu kidato cha sita mwaka 2021 katika tahasusi ya HGL, baadae nikaanza biashara yangu ya mpesa, mwaka huo sikuomba chuo kutokana na matatizo ya kifamilia.
Mwaka jana nikaomba chuo course ya sheria ila nikakosa mkopo, nikaamua kujikita kwenye biashara yangu, hadi kufikia sasa nina branch ambayo kwa kiasi kidogo imekuwa maana nimeweka na bank wakala ingawa siyo zote
Changamoto inakuja kwa upande wa wazazi wanaotaka nisome degree kwa wakati huu maana wanaamini sana katika ajira, na mimi nina wasiwasi juu ya biashara yangu maana kwenye hizi kazi wafanyakazi usipowafuatilia ni mwezi mmoja umetoka kwenye road.
Nilikuwa naomba msaada kwa wanaJF ili nichanganye na zangu
Mwaka jana nikaomba chuo course ya sheria ila nikakosa mkopo, nikaamua kujikita kwenye biashara yangu, hadi kufikia sasa nina branch ambayo kwa kiasi kidogo imekuwa maana nimeweka na bank wakala ingawa siyo zote
Changamoto inakuja kwa upande wa wazazi wanaotaka nisome degree kwa wakati huu maana wanaamini sana katika ajira, na mimi nina wasiwasi juu ya biashara yangu maana kwenye hizi kazi wafanyakazi usipowafuatilia ni mwezi mmoja umetoka kwenye road.
Nilikuwa naomba msaada kwa wanaJF ili nichanganye na zangu