Niko kwenye mood ya malavedavi

Niko kwenye mood ya malavedavi

yaaaaapp..
Mapaka mwakani ndo kutaanza kuchangamka tena lol

nway mi borea niende kulala saa 10 asubuhi sasa..
Ntaingia hapa kesho kwa muda niwaage vizuri....
Take care😛arty:

poa poa you too love
 
Tangu nimepigwa kibuti mwezi wa nane sikutamani tena kuwepo kwenye uhusiano.
Lakini sasa najisikia nina hamu ya kupendana. Tena nimpate wa kumpenda kwa dhati, nimpe moyo wangu wote, awe rafiki yangu na furaha yangu.
Tucheze wote mvuani, tuangalie pamoja jua likiwa linazama, akiumizwa tulie pamoja, akitoka niwepo pembeni yake kama handbag.
Dah...
Kweli mapenzi raha, nimemiss mapenzi
Hivi wewe hujui tu kama hizo hisia ni very temporary! I guess una hamu tu ya kudinya. Jichunguze moyo wako halafu jaribu kupata mtu wa kudinyana then baada ya kudinya uone kama bado hisia hizo zipo. Wacha kuweweseka kijana..
 
Tangu nimepigwa kibuti mwezi wa nane sikutamani tena kuwepo kwenye uhusiano.
Lakini sasa najisikia nina hamu ya kupendana. Tena nimpate wa kumpenda kwa dhati, nimpe moyo wangu wote, awe rafiki yangu na furaha yangu.
Tucheze wote mvuani, tuangalie pamoja jua likiwa linazama, akiumizwa tulie pamoja, akitoka niwepo pembeni yake kama handbag.
Dah...
Kweli mapenzi raha, nimemiss mapenzi

Good luck in your search.

When A Woman Loves - R. Kelly | Music Video | VEVO
 
haaashy chozi la uchungu limenipita bila kuliona,,, kumbe ndo ufanyayo hayaaaa ???????????? it's okey i'm leaving u now.... and from now on usinitafute,,,
popote utakapo kuwa panda daladala ya sinza mwambie konda unashukia kwa bi nyau
ukifika utakuta watoto wa kike wanacheza mdako...wapite usiongee nao sababu usiniulize:A S 12::A S 12::A S 12::A S 12::sorry::wave:
rudi nyuma....utakuta wazee wanacheza bao....sema asalam aleykum salamu nyingine yoyote hawaitikii
na ukiwapita bila salamu utajuta kuzaliwa...kulia kwako kuna makaburi hesabu la tatu jipya jipya hivi...
pinda kushoto utakuta daraja la kamba..tafadhali usivae hai hili vaa flati shuzi...ukimaliza daraja tu...ntakuwa
nakusubiri...diskripshen yangu....sina shati,,,suruwalirangi ya ugolo...chini peku....we utakuwaje?
 
tanx god,,,,tanx allah i have to know you from today,,,,and also my tanx to you,,,
bado hujaniambia utakuwaje.....mi sinaga ma ubitozi ya sijui shampeni mara redi diress...mara kiatu hai hili mara sijui maua maua....talking about maua hela bora unletee nkajichanganye krismasi hii
 
bila kufahamu uhuuuu.... Kaka mtoto huyu ka treni basi kigoma....mwisho wa reliiiiiii

kaka maudhurio ya darasa la mmu naona yanaendelea kupungua day by day hapa siku za mbeleni mnaweza kujikuta mko watu wawili tu kwenye jukwaa zima
 
Tangu nimepigwa kibuti mwezi wa nane sikutamani tena kuwepo kwenye uhusiano.
Lakini sasa najisikia nina hamu ya kupendana. Tena nimpate wa kumpenda kwa dhati, nimpe moyo wangu wote, awe rafiki yangu na furaha yangu.
Tucheze wote mvuani, tuangalie pamoja jua likiwa linazama, akiumizwa tulie pamoja, akitoka niwepo pembeni yake kama handbag.
Dah...
Kweli mapenzi raha, nimemiss mapenzi

usifikilie mazuri tu kila siku kwenye mapenzi fikiria na malumbano na maugomvi ndio utapata mwenza wa kweli mapenzi yana pande mbili kama shilingi kabla ya kufikiria kuwa akitoka uwe pembeni yake kama handbag fikiria siku umempiga kibao nae kalipiza kwa kukung'ata pua yako hapo utapata mpenzi wa kweli
 
i will give u my contact tuwasiliane,,,,ok? watatuchanganya hawa watu tena sasa umeona wasema wakutane wakiwa hawana nguo,,,,
Tufanyeje sasa maana na mimi nimemkamata wa kwangu yuko njiani anajiandaa kwenda kwa hashycool
 
i will give u my contact tuwasiliane,,,,ok? watatuchanganya hawa watu tena sasa umeona wasema wakutane wakiwa hawana nguo,,,,

mapigo ya kasi yanaenda moyo hakyanani!.....i wish my mouth had a backspace key!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom