Niko kwenye mood ya malavedavi

Niko kwenye mood ya malavedavi

doesnt matter lakini leo lazma aniambie la sivyoo xmass hatwendi nyumbani,,,sijui ndio kuhiji si jui nin huko mambo mbele kwa mbel tuu?????????
kaka maudhurio ya darasa la mmu naona yanaendelea kupungua day by day hapa siku za mbeleni mnaweza kujikuta mko watu wawili tu kwenye jukwaa zima
 
lol ndugu yangu rudia post zao hapo kwa back uwasome vizuriiii,,,mi nilikuwa nakucheki tu na wewe ofro anavyokukata misemo ya kukutuliza na kukuziba macho,,,, amka bbasi kumekuchaaaa...
Dah!!!! Kumbe aisee tumeliwa kabisa halafu wa kwangu nilimuamini kupita maelezo
 
anmbia eti usikasirike,,,lakini hajanambia basi sweatheart nisamehe ni shetani ndio ka doo yote hayoo mana ajua atanidanganya si shetani ni yeye na afrodenz,,,, leo alkhamisi mpendwa kaandike kwenye diary yako haraka,,,
hivi hashy amekuomba msamaha!!!!!
 
dawa ya moto ni moto nafkiri,,,,, na yuwapi huyu wako au umeshamfunga kamba kwa kiti na plasta mdomani??? naon hasemi kimyaaa,,,
dawa ya moto ni moto
ukimwaga mboga namwaga ugali

nilham usemi upi hapo tuutumie kwa hawa watu wawili
 
lol ndugu yangu rudia post zao hapo kwa back uwasome vizuriiii,,,mi nilikuwa nakucheki tu na wewe ofro anavyokukata misemo ya kukutuliza na kukuziba macho,,,, amka bbasi kumekuchaaaa...

AISEE NGOJA SASA NIKAE VIZURI KUMBE MTU MZIMA NAPKWA MAFUTA MGONGONI HALAFU PEMBENI WATU :hungry::hungry::hungry:
 
anmbia eti usikasirike,,,lakini hajanambia basi sweatheart nisamehe ni shetani ndio ka doo yote hayoo mana ajua atanidanganya si shetani ni yeye na afrodenz,,,, leo alkhamisi mpendwa kaandike kwenye diary yako haraka,,,

Aisee NILHAM nimeandika tena kwa marker pen nyekundu
 
anmbia eti usikasirike,,,lakini hajanambia basi sweatheart nisamehe ni shetani ndio ka doo yote hayoo mana ajua atanidanganya si shetani ni yeye na afrodenz,,,, leo alkhamisi mpendwa kaandike kwenye diary yako haraka,,,

haya mamiii....nisamehe mwenziooo...nilipitiwa tu kidogo....enhee....mwenzio nikinywa maji nakuona ndani ya glass.
 
dawa ya moto ni moto nafkiri,,,,, na yuwapi huyu wako au umeshamfunga kamba kwa kiti na plasta mdomani??? Naon hasemi kimyaaa,,,

sijui bado kalala, halafu hashy ndio kakimbia kesi yuko wapi hebu mtafute umrudishe hapa ajibu kesi kabla jua halijazama leo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom