Niko kwenye mood ya malavedavi

Niko kwenye mood ya malavedavi

TAJIRI MKUU WA MATAJIRI

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2010
Posts
11,208
Reaction score
22,499
Tangu nimepigwa kibuti mwezi wa nane sikutamani tena kuwepo kwenye uhusiano.
Lakini sasa najisikia nina hamu ya kupendana. Tena nimpate wa kumpenda kwa dhati, nimpe moyo wangu wote, awe rafiki yangu na furaha yangu.
Tucheze wote mvuani, tuangalie pamoja jua likiwa linazama, akiumizwa tulie pamoja, akitoka niwepo pembeni yake kama handbag.
Dah...
Kweli mapenzi raha, nimemiss mapenzi
 
may allah give you what you wsh,,,,,,,and to be happy with him /her,,,inshallahh,
 
Nipo kwa ajili yako jamani. Karibu hadi ndani. Shemejio mpe hi hapo sebuleni. mwambie umekuja kumuona ndg yko
 
Tangu nimepigwa kibuti mwezi wa nane sikutamani tena kuwepo kwenye uhusiano.
Lakini sasa najisikia nina hamu ya kupendana. Tena nimpate wa kumpenda kwa dhati, nimpe moyo wangu wote, awe rafiki yangu na furaha yangu.
Tucheze wote mvuani, tuangalie pamoja jua likiwa linazama, akiumizwa tulie pamoja, akitoka niwepo pembeni yake kama handbag.
Dah...
Kweli mapenzi raha, nimemiss mapenzi

hapo buluu ni mapenzi au mchezo wa kihindi?
 
manaeno matamu hayo ..
tatizo ni kwamba hayakai kwa muda mrefu...
ni mwezi mmja tu... halafu kila kitu ni kinyume cha hapo.....
 
Tangu nimepigwa kibuti mwezi wa nane sikutamani tena kuwepo kwenye uhusiano.
Lakini sasa najisikia nina hamu ya kupendana. Tena nimpate wa kumpenda kwa dhati, nimpe moyo wangu wote, awe rafiki yangu na furaha yangu.
Tucheze wote mvuani, tuangalie pamoja jua likiwa linazama, akiumizwa tulie pamoja, akitoka niwepo pembeni yake kama handbag.
Dah...
Kweli mapenzi raha, nimemiss mapenzi

Hapo ndipo tunakoharibu sasa................umpe mwenzio moyo wewe ubaki na nn?
 
mmmhhhh na we umeanza??
ni kiyume cha hayo maneno matamu lol....😛arty:

hili neno "maneno matamu" sjui kwanini nikiliona linaniongezea hamu. sjui nikaanzishe sredi JF Doctor , nazani nina marazi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom