The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
hilo nimegungua mkuu..
mie kuanzia kesho ndo napotea jumala mpaka mwaakaniiii..lol:redfaces:
:redfaces::redfaces::A S-cry::A S-cry::A S-confused1::A S-confused1:
hilo nimegungua mkuu..
mie kuanzia kesho ndo napotea jumala mpaka mwaakaniiii..lol:redfaces:
hivi lile panga langu sijui liko wapi ngoja nilitafute nahisi nililiweka chini ya uvungu wa kitanda ngoja nimtafute juma akanisaidie kulinoa
halafu miwani yangu huwa haidanganyi
hahahahah lol ... (oohhh dont worry about that)
haya tukubaliane unakuja kunipokea kwenya daraja bovu..
halafu mi ntakuja..lol
hahahahhahhah lol
unavituko wewe..
Panga huna ule ni wembe tu...
Nilidhani ukiwa na macho 4 unaona sana lakini sasa nina wasiwasi lol
:redfaces::redfaces::A S-cry::A S-cry::A S-confused1::A S-confused1:
popote utakapo kuwa panda daladala ya sinza mwambie konda unashukia kwa bi nyau
ukifika utakuta watoto wa kike wanacheza mdako...wapite usiongee nao sababu usiniulize
rudi nyuma....utakuta wazee wanacheza bao....sema asalam aleykum salamu nyingine yoyote hawaitikii
na ukiwapita bila salamu utajuta kuzaliwa...kulia kwako kuna makaburi hesabu la tatu jipya jipya hivi...
Pinda kushoto utakuta daraja la kamba..tafadhali usivae hai hili vaa flati shuzi...ukimaliza daraja tu...ntakuwa
nakusubiri...diskripshen yangu....sina shati,,,suruwalirangi ya ugolo...chini peku....we utakuwaje?
hahahahah lol
hiyo si kwa sababu haujaisafisha
kwa muda mrefu sana lol
ngoja nikawastue wale wahuni wa mtogole niwaambie kuna ishu huku
popote utakapo kuwa panda daladala ya sinza mwambie konda unashukia kwa bi nyau
ukifika utakuta watoto wa kike wanacheza mdako...wapite usiongee nao sababu usiniulize
rudi nyuma....utakuta wazee wanacheza bao....sema asalam aleykum salamu nyingine yoyote hawaitikii
na ukiwapita bila salamu utajuta kuzaliwa...kulia kwako kuna makaburi hesabu la tatu jipya jipya hivi...
pinda kushoto utakuta daraja la kamba..tafadhali usivae hai hili vaa flati shuzi...ukimaliza daraja tu...ntakuwa
nakusubiri...diskripshen yangu....sina shati,,,suruwalirangi ya ugolo...chini peku....we utakuwaje?
The Following User Says Thank You to hashycool For This Useful Post:popote utakapo kuwa panda daladala ya sinza mwambie konda unashukia kwa bi nyau
ukifika utakuta watoto wa kike wanacheza mdako...wapite usiongee nao sababu usiniulize
rudi nyuma....utakuta wazee wanacheza bao....sema asalam aleykum salamu nyingine yoyote hawaitikii
na ukiwapita bila salamu utajuta kuzaliwa...kulia kwako kuna makaburi hesabu la tatu jipya jipya hivi...
pinda kushoto utakuta daraja la kamba..tafadhali usivae hai hili vaa flati shuzi...ukimaliza daraja tu...ntakuwa
nakusubiri...diskripshen yangu....sina shati,,,suruwalirangi ya ugolo...chini peku....we utakuwaje?
popote utakapo kuwa panda daladala ya sinza mwambie konda unashukia kwa bi nyau
ukifika utakuta watoto wa kike wanacheza mdako...wapite usiongee nao sababu usiniulize
rudi nyuma....utakuta wazee wanacheza bao....sema asalam aleykum salamu nyingine yoyote hawaitikii
na ukiwapita bila salamu utajuta kuzaliwa...kulia kwako kuna makaburi hesabu la tatu jipya jipya hivi...
pinda kushoto utakuta daraja la kamba..tafadhali usivae hai hili vaa flati shuzi...ukimaliza daraja tu...ntakuwa
nakusubiri...diskripshen yangu....sina shati,,,suruwalirangi ya ugolo...chini peku....we utakuwaje?
kaka nina bifu nao hao.....juzi tulikuwa na dili la simu nika wakwepa!
hahahahahaha yaani nimekosa la kusema /..
sina mbavu ..
uananichekeshaga ukiandikaga haya jamani uuhhh sina hamu...
hahahahhahaha lol kumbe bado unakumbuka bura lol
zilikulewesha ae hahahah lol karibu tena lol
the following user says thank you to the finest for this useful post:
afrodenzi (today)
nafikiri babu matiti atakuwa ameniambukiza
hahahahah lol kwa kweli naona iko kwenye familia ..
Urithi mtakatifu lol..
Hivi babu matiti na ye kasha kitoa maana haonekani lol...
bado hujaniambia utakuwaje.....mi sinaga ma ubitozi ya sijui shampeni mara redi diress...mara kiatu hai hili mara sijui maua maua....talking about maua hela bora unletee nkajichanganye krismasi hii
nimepanga kunywa bura asubuhi, mchana, jioni this festive season