Niko kwenye mood ya malavedavi

uuuwiiii nalionea huruma hilo tumbo na figo zako..
Maana hizi pombe za kwetu ukiwa unakunywa kama maji
na yenye inakukunywa wewe nje mpaka ndani ...lol

nitatengeneza cocktail ya long island ice tea na bura you will like it lol!!!!!!!!!!!
 
nitatengeneza cocktail ya long island ice tea na bura you will like it lol!!!!!!!!!!!

hahahahahah lol
huo mchanganyiko wa hizo light gine na mavodka na bura(pombe ya mahindi)
mmmhhhh hatari..
Hii hata wataalum wa Vergas hawajawahi ona hahhahahhahah lol

itabidi we unywe kwanza na kama tumbo halija koroma
basi na mi nta kunywa otherwise si gusi hahahah lol
 
hahahahahah lol
huo mchanganyiko wa hizo light gine na mavodka na bura(pombe ya mahindi)
mmmhhhh hatari..
Hii hata wataalum wa vergas hawajawahi ona hahhahahhahah lol

itabidi we unywe kwanza na kama tumbo halija koroma
basi na mi nta kunywa otherwise si gusi hahahah lol

i tell you unaweza kufa au kulala mwaka mzima haujaamka
 
definately it will be me lakini mimi ni genuine tofauti na babu kwahiyo siwezi ku-expire life time guarantee

hahahahahh lol
Pole kwa ni babu haachi ngazi mpaka kieleweke...
naoana huu utakuwa uchaguzi tena..
ninachosubiri ni mtu achakachue kura tu ...lol
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom