hashycool
JF-Expert Member
- Oct 2, 2010
- 6,555
- 2,841
ha ha ha ha ha ha ha ha
sasa wewe wacheka nini mwenzio at my best.......naji expresss my self
ha ha ha ha ha ha ha ha
haya mamiii....nisamehe mwenziooo...nilipitiwa tu kidogo....enhee....mwenzio nikinywa maji nakuona ndani ya glass.
hahaaaaaaaa.....Tangu nimepigwa kibuti mwezi wa nane sikutamani tena kuwepo kwenye uhusiano.
Lakini sasa najisikia nina hamu ya kupendana. Tena nimpate wa kumpenda kwa dhati, nimpe moyo wangu wote, awe rafiki yangu na furaha yangu.
Tucheze wote mvuani, tuangalie pamoja jua likiwa linazama, akiumizwa tulie pamoja, akitoka niwepo pembeni yake kama handbag.
Dah...
Kweli mapenzi raha, nimemiss mapenzi
sasa wewe wacheka nini mwenzio at my best.......naji expresss my self
sasa wewe wacheka nini mwenzio at my best.......naji expresss my self
hahaaaaaaaa.....
they say you just need to love a little... say 60% and retain the rest for yourself; hii itakupunguzia sana presha na maumivu ya kupigwa kibuti
Godd luck with all new vigor in you
anicheka mie nnayepigwa mistari,,,,
AISEE NGOJA SASA NIKAE VIZURI KUMBE MTU MZIMA NAPKWA MAFUTA MGONGONI HALAFU PEMBENI WATU :hungry::hungry::hungry:
anicheka mie nnayepigwa mistari,,,,
yaani huu ukweli toka moyoni ndani kabsaaa.........yaani weye tu dunia nzima
the game will start after ur afrodenz kuwakilisha maneno yake hapa,,,,, be prepared men ..
NILHAM hivi HASHY kufanya hivyo ni mara ya kwanza au ya pili maana siwezi hata kumtetea maana alikuwa ana-mess around na kipipi moyo wangu
ngoja jae leo patachimbika hapa aisee ndio maana tulipokuwa nyumbani kila tukitaka kununua kitu yeye anasisitiza twende kwenye duka la hashy ndio ana bei nzuri atatupunguzia kumbe wana lao jambo ngoja
du kweli vijana mko kwenye mood ya malavi dave
ya kwanza hii ndugu yangu ndio mana waona nimepagawa hapa,,,,,
alaaa kumbeeee.........
mimi nasubir afro aamke au sijui nikamuamshe kinguvu huko kitandani maana doh!!! Nafa na presha siku si nyingi
mimi nasubir afro aamke au sijui nikamuamshe kinguvu huko kitandani maana doh!!! Nafa na presha siku si nyingi
taratibu kaka nakusoma tu we haya....afro mi ni dada angu pande wa shangazi tumbo moja moja na bibi mpwa wake hamid yaani hami yake rashid upande wa kaka yake na dada......ni hivyo tu basi