Niko kwenye mood ya malavedavi

Niko kwenye mood ya malavedavi

hili neno "maneno matamu" sjui kwanini nikiliona linaniongezea hamu. sjui nikaanzishe sredi JF Doctor , nazani nina marazi.

hahahahahah Klorokwini wewe naona mwaka mpya wako umeanza mapema lol...
sasa hamu ya nini ndugu yangu?? ndizi, ndimu au parachichi??
hahahah lol hiyo thread hiyo mmmhhh good luck....
 
tangu nimepigwa kibuti mwezi wa nane sikutamani tena kuwepo kwenye uhusiano.
Lakini sasa najisikia nina hamu ya kupendana. Tena nimpate wa kumpenda kwa dhati, nimpe moyo wangu wote, awe rafiki yangu na furaha yangu.
Tucheze wote mvuani, tuangalie pamoja jua likiwa linazama, akiumizwa tulie pamoja, akitoka niwepo pembeni yake kama handbag.
Dah...
Kweli mapenzi raha, nimemiss mapenzi
wewe ni he au she??
 
hahahahahah Klorokwini wewe naona mwaka mpya wako umeanza mapema lol...
sasa hamu ya nini ndugu yangu?? ndizi, ndimu au parachichi??
hahahah lol hiyo thread hiyo mmmhhh good luck....
hehehe inaonekana kabisa kwamba hiyo sredi wewe hautochangia. unanilet chini bana.
 
hehehe inaonekana kabisa kwamba hiyo sredi wewe hautochangia. unanilet chini bana.
mmmhhh mi kila nikiona hawa wanashangilia hata nizima lap top...
inanitia moyo sana.... sasa iwe isiwe mi ndo ntakuwa wa kwanza kuchangia hiyo thread lol...hahaha lol😛arty:
 
mmmhhh mi kila nikiona hawa wanashangilia hata nizima lap top...
inanitia moyo sana.... sasa iwe isiwe mi ndo ntakuwa wa kwanza kuchangia hiyo thread lol...hahaha lol😛arty:
tafazali usiwapende hao zaidi kuliko mimi mwajiri wao. itanipa majelas na mawivu
 
tafazali usiwapende hao zaidi kuliko mimi mwajiri wao. itanipa majelas na mawivu

mmmhhh lazima ntampenda bosi lakini
hawa wanani vutia sana...
kila nikisha waona tu hata kama thread ni ndefu kiasi gani lazima ntasoma..
maana najua ni message kutoka kwa mkuu na hao wajukuu wanashangilia lol:whoo:
 
mmmhhh lazima ntampenda bosi lakini
hawa wanani vutia sana...
kila nikisha waona tu hata kama thread ni ndefu kiasi gani lazima ntasoma..
maana najua ni message kutoka kwa mkuu na hao wajukuu wanashangilia lol:whoo:

jamaa ni kisiwa cha ma aidia ambayo kwa haraka huwezi fikiria
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom