Niko kwenye mood ya malavedavi

Niko kwenye mood ya malavedavi

hahahhaha lol nilikuwa sijaona hiyo lol

kwa kweli namwone huruma mmhhh

uko wapi mpenzi wangu mbona nimekuja hapa kwenye lounge nimeweka hapa laptop yangu sikuoni au umeenda kwenye swimming pool tena
 
special for you nilham

By the lake with its warm air
You run your fingers thru' my hair
Into each other's eyes we quietly stare
A little kiss follows then and there
Love and tenderness simply flare
So joyful the moments we have to share
Sweethearts we are in this beautiful love affair
No one can dispute we are a most loving pair.

mkuu ungeimba za kimanga, hizo zitamzidisha jazba tu.
 
uko wapi mpenzi wangu mbona nimekuja hapa kwenye lounge nimeweka hapa laptop yangu sikuoni au umeenda kwenye swimming pool tena

ahhh bwana nko huku najaribu hii bikini mpya ..
si inabidi niku teez kwanza
kabla sijaanza kuku shushia jazba lol
 
special for you nilham

By the lake with its warm air
You run your fingers thru' my hair
Into each other's eyes we quietly stare
A little kiss follows then and there
Love and tenderness simply flare
So joyful the moments we have to share
Sweethearts we are in this beautiful love affair
No one can dispute we are a most loving pair.


uuuwii Nilham itabidi usome hii..
mmmhhh mumeo kapiga magoti..
sasa we wasemaje.....???
 
wakuu acheni niwahi ofisini sasa, akija preta mwambieni nimepokea mshahara leo, afanye haraka tuonane akaumalize.

asanteni kwa ushirikiano.
 
Tangu nimepigwa kibuti mwezi wa nane sikutamani tena kuwepo kwenye uhusiano.
Lakini sasa najisikia nina hamu ya kupendana. Tena nimpate wa kumpenda kwa dhati, nimpe moyo wangu wote, awe rafiki yangu na furaha yangu.
Tucheze wote mvuani, tuangalie pamoja jua likiwa linazama, akiumizwa tulie pamoja, akitoka niwepo pembeni yake kama handbag.
Dah...
Kweli mapenzi raha, nimemiss mapenzi
duh! pole sana
 
Mpenzi wangu afro natumaini utarudi na majibu mazuri kutoka kwa nilham kwa ajili ya hashy
 
Mpenzi wangu afro natumaini utarudi na majibu mazuri kutoka kwa nilham kwa ajili ya hashy

najaribu kila niwezacho
lakini huku chumbani hakufai..
mmhh lakini mwambie asikate tamaa..

mmhh endelea kusika hiyo camera bado ntarudi kumalizia mamboz lol..
mmmmmhh unanitamanisha mume wangu lol
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom