Niko kwenye mood ya malavedavi

Niko kwenye mood ya malavedavi

I cant hashhhh,,, yaani we baada ya kuona afrodenz kamuomba mumewe msamaha ndio wajua kwamba utakuwa huna tena pakwenda,,,,, i cant even look at you haash ,,,u a selfish hash,,,, :a s 20::a s 20:

heart broken! hapa nilipo kuna feni la juu natafuta kamba sasa hivi!!!! unionei huruma?
 
oooohh babe thank u so much ...
mi naenda kuweka maji kwenye jakuzi naomba ulete wine kutoka kwenye fidge
mie leo wako raha ntakazo kupa hujawahi ona...
nakupenda sana mpenzi wangu..
mmmwwwwaaaaahhhhhh

Okay ngoja nije na ice cubes kwa ajili ya ile whiskey naleta pia na ile nyama
 
nimemsamehe afro wangu ila nimemwambia chochote kile kinachomuhusu hashy lazima kipitie kwangu kwanza vile vile chohcote kile kinachomuhusu afro lazima hashy apitie kwako kwanza

sasa mume wangu tuwaonganishe HashC na bibie au waonaje???
tuwaalike kwa bbq leo jioni???
 
Nooo i'm not like you,,,,, hash hanitaki finest,,,, wish you two all dah best,,,nsalimie bidada mi siwezi ata kusema nae....
nimemsamehe afro wangu ila nimemwambia chochote kile kinachomuhusu hashy lazima kipitie kwangu kwanza vile vile chohcote kile kinachomuhusu afro lazima hashy apitie kwako kwanza
 
sidanganyiki!!!! l.o.l hube jaribu kutukana weweel.o.l naomba uwe hakimu pliz....ila cheki yako nishaiandaa

si ndio maana nikasema mlog out yaani kila mkibaki hii kesi ndio mnaifanya inakuwa ngumu kuliko rada ya mkapa. si unaona afrodenzi ameanza kuomba klorokwini akajiuwe.
 
Obuntu is asking : Why Harrieth has been HERE for many hours and yet she has not registered a single post?

Aisee kumbe siko peke yangu niliyemuona sababu she has been here for almost three hours okay may be anasoma kuanzia page ya kwanza
 
Okay ngoja nije na ice cubes kwa ajili ya ile whiskey naleta pia na ile nyama

ahhhh ndo maana nakupenda ..
yaani mmmhh mpaka kifo kitutenganishe...
laazizi wangu ...
njoo uitoe hii bra mmhhh
maaanaa mmhhhh
 
si ndio maana nikasema mlog out yaani kila mkibaki hii kesi ndio mnaifanya inakuwa ngumu kuliko rada ya mkapa. si unaona afrodenzi ameanza kuomba klorokwini akajiuwe.

naomba namie kibox kizima manake naelekea kutoswa!!!!
 
Nooo i'm not like you,,,,, hash hanitaki finest,,,, wish you two all dah best,,,nsalimie bidada mi siwezi ata kusema nae....

Nilham wait dont do that basi tunawaalika leo kwenye BBQ the two of you then we will sort out things sawa
 
Nooo i'm not like you,,,,, hash hanitaki finest,,,, wish you two all dah best,,,nsalimie bidada mi siwezi ata kusema nae....

mmmhh jamani hatutafika mbali kama ndo hivi ..
wote tunakosea na wote tunataka kusamehewa...
mmmhh ngoja niongee na HashC ili akuombe msamahaa...
 
mmmhh jamani hatutafika mbali kama ndo hivi ..
Wote tunakosea na wote tunataka kusamehewa...
Mmmhh ngoja niongee na hashc ili akuombe msamahaa...

nimewapa mwaliko hash na nilham waje nyumbani so that we can sort out this mess
 
special for you nilham

By the lake with its warm air
You run your fingers thru' my hair
Into each other's eyes we quietly stare
A little kiss follows then and there
Love and tenderness simply flare
So joyful the moments we have to share
Sweethearts we are in this beautiful love affair
No one can dispute we are a most loving pair.
 
si ndio maana nikasema mlog out yaani kila mkibaki hii kesi ndio mnaifanya inakuwa ngumu kuliko rada ya mkapa. si unaona afrodenzi ameanza kuomba klorokwini akajiuwe.

hahhahahahahahah lol Klorokwini wewe..
mmhh unavituko sana..
mie sitaki ufe nataka u unitibu lol
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom