Niko kwenye mood ya malavedavi

Niko kwenye mood ya malavedavi

mpenzi laaazizi wangu
nakuja magotini pako
naomba unisamehe mwana wa mwenzio
bila wewe mi sizani kama itapita siku
nadhani nitajinyonga tu......


hahahahahahahahah lol na we umeamua ku apologies ae safi lol
 
halaf hii JF leo kuna baadhi ya majukwaa unaweza ukatembea uchi, yaani hakuna watu kabisa, hashycool hebu jaribu kutukana mod tuwacheki kama na wao wapo au hawapo? wakikuban nitakulindia nilham rashid.

sidanganyiki!!!! l.o.l hube jaribu kutukana weweel.o.l naomba uwe hakimu pliz....ila cheki yako nishaiandaa
 
okay nakusamehe lakini kwa masharti yafuatayo chochote kile kinachomuhusu hashy lazima kipitie kwangu kwanza sawa?????

oooohh babe thank u so much ...
mi naenda kuweka maji kwenye jakuzi naomba ulete wine kutoka kwenye fidge
mie leo wako raha ntakazo kupa hujawahi ona...
nakupenda sana mpenzi wangu..
mmmwwwwaaaaahhhhhh
 
oooohhhhh iii llllliiiiiikkkkkeeee yyyou ,,,,,,,,

nimemsamehe afro wangu ila nimemwambia chochote kile kinachomuhusu hashy lazima kipitie kwangu kwanza vile vile chohcote kile kinachomuhusu afro lazima hashy apitie kwako kwanza
 
I cant hashhhh,,, yaani we baada ya kuona afrodenz kamuomba mumewe msamaha ndio wajua kwamba utakuwa huna tena pakwenda,,,,, i cant even look at you haash ,,,u a selfish hash,,,, :a s 20::a s 20:
mpenzi laaazizi wangu
nakuja magotini pako
naomba unisamehe mwana wa mwenzio
bila wewe mi sizani kama itapita siku
nadhani nitajinyonga tu......
 
nishaanza kuandika wosia.....ila mali zangu zote isipokuwa nilham, namuachia klorokwin

yaani HashC ningependa uombe msamaha kwa bibie ..
kwani bado anakupenda sana..
mie na TF tayari tumesha suluhisha ..
 
Obuntu is asking : Why Harrieth has been HERE for many hours and yet she has not registered a single post?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom