NILHAM RASHED
JF-Expert Member
- Nov 29, 2010
- 1,622
- 43
mi pia ndugu yangu yamenishinda je kwakuwa tulikuwa tukipendana kila mtu na wake waonaje hawa waliotugeuka tukawachapa kandoa kamkeka cha hapa hapa... Na jee truwaulize watakuwa radhi mi kwa sasa i cant speak with him,,, na perfum zako ntazirudisha inshallah!!!
nimeishakata tiketi naondoka zangu mie nimechoka