Niko kwenye mood ya malavedavi

Niko kwenye mood ya malavedavi

mi pia ndugu yangu yamenishinda je kwakuwa tulikuwa tukipendana kila mtu na wake waonaje hawa waliotugeuka tukawachapa kandoa kamkeka cha hapa hapa... Na jee truwaulize watakuwa radhi mi kwa sasa i cant speak with him,,, na perfum zako ntazirudisha inshallah!!!
nimeishakata tiketi naondoka zangu mie nimechoka
 
nimeona pana kesi hapa. afrodenzi na nilham naweza baadae nikakuiteni pembeni kwa ajili ya usuluhishi. hashycool na ze fainest mnaombwa kulog out haraka sana ili kuepusha mtafaruku zaidi.

Aiseee hii kesi sijui kama utaweza kuisuluhisha mimi naona bora hashy apewe klorokwini tu
 
i have to say one thing..
mumeo anakupenda sana tena sana..
so whetever decision u gona make please include him...

we HashC mi nakutetea we unanipaka mavi lol

kuna sredi moja lina sema hawara hawaachani hivi lina ukweli?
 
mi pia ndugu yangu yamenishinda je kwakuwa tulikuwa tukipendana kila mtu na wake waonaje hawa waliotugeuka tukawachapa kandoa kamkeka cha hapa hapa... Na jee truwaulize watakuwa radhi mi kwa sasa i cant speak with him,,, na perfum zako ntazirudisha inshallah!!!

bora ngoja tuwaulize hapo ndio tutaujua ukweli
 
mi pia ndugu yangu yamenishinda je kwakuwa tulikuwa tukipendana kila mtu na wake waonaje hawa waliotugeuka tukawachapa kandoa kamkeka cha hapa hapa... Na jee truwaulize watakuwa radhi mi kwa sasa i cant speak with him,,, na perfum zako ntazirudisha inshallah!!!

:Cry:
 
nimeishakata tiketi naondoka zangu utajua mwenyewe pa kunitafuta

yaani mume wangu mi nakupenda sana ..
kwa kweli sijafanya kitu chochote against ndoa yetu..
mie niko tayari kwenda msikitini au kanisani na we ili watuonganishe tena..
niko tayarikufanya unalotaka..
baba watoto naomba sana usiniache ..
nione huruma mimi mkeo ....
 
Nilisika we wapiga watu ban humu jf,,,ila sie hatugombani mzee usije ukatufungie sie twatafuta suluhisho tuu hapa mkubwa,,,eeeh
nimeona pana kesi hapa. Afrodenzi na nilham naweza baadae nikakuiteni pembeni kwa ajili ya usuluhishi. Hashycool na ze fainest mnaombwa kulog out haraka sana ili kuepusha mtafaruku zaidi.
 
yaani mume wangu mi nakupenda sana ..
Kwa kweli sijafanya kitu chochote against ndoa yetu..
Mie niko tayari kwenda msikitini au kanisani na we ili watuonganishe tena..
Niko tayarikufanya unalotaka..
Baba watoto naomba sana usiniache ..
Nione huruma mimi mkeo ....

haya maneno yanatoka from your heart au from your mind, nilhama umeona haya maneno au ndio kama vile mtoto napewa pipi
 
halaf hii JF leo kuna baadhi ya majukwaa unaweza ukatembea uchi, yaani hakuna watu kabisa, hashycool hebu jaribu kutukana mod tuwacheki kama na wao wapo au hawapo? wakikuban nitakulindia nilham rashid.
 
halaf hii jf leo kuna baadhi ya majukwaa unaweza ukatembea uchi, yaani hakuna watu kabisa, hashycool hebu jaribu kutukana mod tuwacheki kama na wao wapo au hawapo? Wakikuban nitakulindia nilham rashid.

ha ha ha ha ha ha mkuu una vituko sana nimecheka hapa mpaka basii lol!!!!!!!!!!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom