Niko kwenye mood ya malavedavi

Niko kwenye mood ya malavedavi

jamani eeeh ukweli ndo huu liwalo na liwe..........mimi nilikuwa tu namsalimu afro....alafu nikamkaribisha sinza homu kwetu..bahati mbaya kabla hajaja likatokea lijamaa lina ile li avatar la muvi ekta wa marekani sijui ndo denzeli likanizidi ujanja sababu lenyewe lilikuwa lina muhaidi sijui ma hai hill sijui madress mekundu sijui ma lomantaki naiti na makila kitu sasa mimi........mnataka niendelee?
 
AAAAFFFRRROOODDDDEEENZIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII??
uwiiiii hembu usije sema ukweli maana anaweza afe bure hahaha lol
usiseme uongo pia ..
sema ukweli lakini urefushe kidogo hahahah lol
:redfaces::redfaces::redfaces::redfaces:
 
sasa ilikuwaje akakwambia wende bila ya nguo mbele ya daraja na ye atakuwa kifuwa wazi akungoja,,,na kifua hicho hicho ndio nnacho lalia mim mwandani wake eeenhee???

hahahah lol mmmhh bibie ilikuwa niende na nguo lakini
mmhh bibi nyau hapendi nguo
ikabidi nifuate sheria lol
 
uwi baba watoto nilidhani hatuta gombana mbele za watu nini tena hii mpenzi wangu...

Wewe ndio ulitaka yafike hapa ngoja nikapate bura nikirudi nyumbani hapakaliki leo sijui ni kitu ambacho utafanya uibadilishe akili yangu
 
I'm gud my dear! The life is treating me fairly and I hope you are enjoying everything you are up to?

so far so good..
im very happy to hear ur doing great how is x-mass preparation going??
 
mmmmhh nini tena kipenzi changu sha roho..
Mie nakupa na zaidi sijui unalalamika nini tena mume wangu...
Mmmhh nilidhani dawa ya moto ni maji lol

nimeishakata tiketi naondoka zangu utajua mwenyewe pa kunitafuta
 
jamani eeeh ukweli ndo huu liwalo na liwe..........mimi nilikuwa tu namsalimu afro....alafu nikamkaribisha sinza homu kwetu..bahati mbaya kabla hajaja likatokea lijamaa lina ile li avatar la muvi ekta wa marekani sijui ndo denzeli likanizidi ujanja sababu lenyewe lilikuwa lina muhaidi sijui ma hai hill sijui madress mekundu sijui ma lomantaki naiti na makila kitu sasa mimi........mnataka niendelee?
huu ndo utetezi
 
nimeona pana kesi hapa. afrodenzi na nilham naweza baadae nikakuiteni pembeni kwa ajili ya usuluhishi. hashycool na ze fainest mnaombwa kulog out haraka sana ili kuepusha mtafaruku zaidi.
 
anhaaa!!!!!!!!!! Let me think what i'm gona do,,,,

i have to say one thing..
mumeo anakupenda sana tena sana..
so whetever decision u gona make please include him...

we HashC mi nakutetea we unanipaka mavi lol
 
nimeona pana kesi hapa. afrodenzi na nilham naweza baadae nikakuiteni pembeni kwa ajili ya usuluhishi. hashycool na ze fainest mnaombwa kulog out haraka sana ili kuepusha mtafaruku zaidi.

chief editor umenifanya nicheke peke yangu......dah! we kiboko...ila mimi sidanganyiki
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom