Niko kwenye mood ya malavedavi

Niko kwenye mood ya malavedavi

Tuna kesi inabidi wewe na HASHY mtueleze mimi na NILHAM whats going maana mimi nahisi HASHY ananiibia AFRO wangu na NILHAM anahisi anaibiwa HASHY wake hizo appointment za kwenda sinza kwa HASHY jana leo utanileza vizuri hapa, pia na yale maua na perfume ulizompelekea jana
The Following User Says Thank You to The Finest For This Useful Post:

afrodenzi (Today)​
 
mmmmmhhh baba watoto nilizani
nguzo yetu ya kwanza ni uaminifu nini tena jamani mmmhhhhh
mbona unanitisha mwenzio hahah lol

mambo ya kumpeleka maua na perfume hashy hapo kuna uaminifu kweli maana hapa mimi na nilham wote presha zetu ziko juu maana wote tunahisi tunaibiwa
 
ee anambia eti kwatisha na we jana kaupa sana,,,na aniasa kuwa wanaume usipo wapa sana ndio wanacheet,,,sasa ngoja nimuulize huyu wangu mie animbie uzuri nini sikumpaaaa????? na we zamu yako sasa mpage swali afro mi kanijibu sahihi kabisa..
Nilham unaona huyu mamaa anakimbia kujibu maswali yetu
 
sana sana ndugu yangu kila siku huyu jamaa aja na vizawadi vyenye vikopakopa nikimuuliza animbia zawadi yangu kumbe yake kapewa na h na afrodnz....
mambo ya kumpeleka maua na perfume hashy hapo kuna uaminifu kweli maana hapa mimi na nilham wote presha zetu ziko juu maana wote tunahisi tunaibiwa
 
haya sasa naanza kumuuliza afro......whats up with us?

mmmmhh ndugu yangu hawa wanataka kutufunga bure ..
mmhh mi na we tuliongelea kumsamia bibi nyau kwa sababu anaumwa
lakini hata hatukufanya hivyo naona sasa tunaenda jela kwa kosa ambalo hatukufany alol
 
sana sana ndugu yangu kila siku huyu jamaa aja na vizawadi vyenye vikopakopa nikimuuliza animbia zawadi yangu kumbe yake kapewa na h na afrodnz....

Yaani mimi namnunulia afro halafu afro anampa hashy halafu hashy anakupa wewe mimi sijui nifanye nini
 
mambo ya kumpeleka maua na perfume hashy hapo kuna uaminifu kweli maana hapa mimi na nilham wote presha zetu ziko juu maana wote tunahisi tunaibiwa

mmmhh jamani nyie mna pressure za bure tu ..
mie na HashC hamna lolote ( ni friends with the benefit tu ) lol
 
sasa ilikuwaje akakwambia wende bila ya nguo mbele ya daraja na ye atakuwa kifuwa wazi akungoja,,,na kifua hicho hicho ndio nnacho lalia mim mwandani wake eeenhee???
mmmhh jamani nyie mna pressure za bure tu ..
mie na HashC hamna lolote ( ni friends with the benefit tu ) lol
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom