Liverpool VPN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 5,807
- 13,054
- Thread starter
- #261
Ndoa nyingi sanaa Zina matatizo.Matatizo ya mtu mmoja yafanye raia billion 7 duniani tusioe?. Makubwa haya
Sio madogo haya.
#YNWA
Ndoa nyingi sanaa Zina matatizo.Matatizo ya mtu mmoja yafanye raia billion 7 duniani tusioe?. Makubwa haya
Wawili Wachache sana, acha uvivu aiseeee, Nina wanne Hadi sasa na wawili wako njiani soon.....Nina watoto wawili.
Agizo la Mungu nishatimiza.
Naendelea kutafuta hela na elimu.
KUOA HAKUNA MAANA.
Kwasababu hata hao waanzilishi wa dunia walikutana na kuanza kugongana na kutoa watoto.
Hawakuoana.
#YNWA
Matatizo ni part of LifeNdoa nyingi sanaa Zina matatizo.
Sio madogo haya.
#YNWA
Yawe ya kweli au ya uongo ila MAPENZI NI BIASHSRA.Chakata mdogo wangu, wamekuja na kauli mbiu mtafute ela, msibishe tafuteni na wao wakubali kuja kuzitumikia pesa zenu.
Swala la mapenzi tunakwenda kulifunga rasmi sasa hivi tukubaliane kwamba ni biashara na tusisingizie eti kuna mapenzi hakuna.
Nina Miaka 32 ngoja kwanza nirudi Shule nikimaliza nitakua na 35.Wawili Wachache sana, acha uvivu aiseeee, Nina wanne Hadi sasa na wawili wako njiani soon.....
Yule wa kule nanihiii ulimshindwa??Nina Miaka 32 ngoja kwanza nirudi Shule nikimaliza nitakua na 35.
Then 35 - 40 yrs nitatafuta wengine wa2 jumla itakua watoto 4.
Kuoa nimewaachia nyie.
#YNWA
Kukaa na mwanamke mmoja miaka mingi kunachosha.Yule wa kule nanihiii ulimshindwa??
Hii dunia inapendeza kuishi miaka ya wastani tu kwa raha mustarehe kuliko kuishi miaka mingi kwa stress kisa eti mke ni ujinga mtupu.
Wanawake wanapenda wao wapendwe hahahaaa
Mwanamme anaejipenda kwa Mwanamke ataitwa majina yotee mara mkimbia majukumu.
Mkuu kwanini wakuite mkimbia majukumu??
Alisema "zaeni mkaongezeke" baada ya kumpa Adamu mke. Kabla ya hapo Adamu hakuwa na mke wa kuzaa naye. Hivyo utaona BWANA MUNGU ndiye aliyeanzisha ndoa.Mungu hakuagiza tukaoane..
Agizo la kwanza lilikua "ZAENI MKAONGEZEKE"
Zaeni na sio OANENI MZEA.
Alianza direct ZAENIIII ......
#YNWA
Walioana wapi?Alisema "zaeni mkaongezeke" baada ya kumpa Adamu mke. Kabla ya hapo Adamu hakuwa na mke wa kuzaa naye. Hivyo utaona BWANA MUNGU ndiye aliyeanzisha ndoa.
Amen.Ukijijali na kujipa kipaumbele wewe kwanza be ready kuitwa hivo mkuu sana
Utoto unakusumbua.Walioana wapi?
Mahari alipokea nani?
Na mshenga je alikua nani?
#YNWA