Nikiwa RAISI

Nikiwa RAISI

Jonogomero

Member
Joined
Feb 8, 2012
Posts
99
Reaction score
27
Mi wakinipa hii nchi kwanza wanyoa viduku wote nawatia ndani, na jeshi lote nalivunja, jeshi la nn akat nchi ina amani, masharobaro wote wanakuwa wahudumu wa bar, wewe ukiwa raisi utafanyaje?
 
Naanza na wewe maana huna nia njema na sisi masharobaro wa jeshini
 
Nikiwa rais: m2 akifikisha miaka 30 namuua ili niwe na nchi ya vijana 2pu, mashoro wote nawapeleka jeshi, wagumu wote nawapa kazi ya uhudumu wa bar na gest.
 
Mkapa, Jk, lowassa, Ngereja, Karamagi, Chenge, RA na Makinda wote RUMPANGO NO UTANI!!!!
 
nikiwa rais ntakubaliana na matakwa ya david cameroon!
 
elimu na afya bure kwa wote. migodi na rasilimali zetu ndizo zitakazofidia hizo gharama za elimu na afya.
 
nanyonga mafisadi wote, halafu nanyoa kiduku, nitalala TBL kila siku.....................................
 
Nikiwa rais:Mkapa nitampeleka kiwira ili akawaeleze wazawa namna alivyoingia mkataba kwa maslahi binafsi?
Pili,Jk ningemtembeza butiama kisha ningemuuliza anajisikiaje anapotembelea kenya ktk makazi ya Kenyatta kwa kulinganisha na kanyumba ka mwl.
 
Nikiwa raisi mdogo wangu atakuwa makamu,mshuwa wazr mkuu,mabalozi wote watakuwa ni ndg zangu
 
nkiwa raisi sikukuu zote ntafuta...ntabakisha moja tu ambayo ni birthday yng.
 
Back
Top Bottom