Nikiwa RAISI

Nikiwa RAISI

Me nkiwa rais viongoz wote walopta nawafilis halafu ikiwa hyo haitoshi nawaua,maana nkiwafunga watakuwa wanapata ugali wa bureeeeeeeeeeeee................................:A S-rap:
 
Mkapa, Jk, lowassa, Ngereja, Karamagi, Chenge, RA na Makinda wote RUMPANGO NO UTANI!!!!

Tena kesi yao inaendeshwa ndani ya masaa na hukumu kutolewa hapo hapo
 
Mimi uraisi siutaki nimeshindwa kujiongoza mwenyewe nchi ndo ntaweza
 
nikiwa prezidaa ata sijuw ntafanyaje, labda ntatembea toka posta mpaka mbezi ili watu wanifate nyuma then nilifika mbezi nawambia ili lilikua azimio la mbezi....
 
Nikiwa raisi kila mwezi nchi itakuwa inachanga kwa kila mkoa mtu atoe Mia tano tu ktk kuendeleza maendeleo ya mkoa mmoja mmoja ktk elimu afya na mazingira.
 
nikiwa prezda..ntafunga bomba la chini kwa chini toka pale TBL mpk nyumbani kwangu pale magogoni.
Ntakuwa sitaki msafara foleni km kawa,sitaki ulinzi wa jeshi wa uslama wa taifa, mgambo ndo watakuwa wananilinda!
 
navunja vyama vyote pinzani na nitauwa yoyote atakaeonyesha kidole kwangu. BIA,CONDOM,MADAWA YA KULEVYA na GESI vitakuwa bure yan ni kula bata tuu
 
Nafunga JF kwanza, then Makao makuu ya nji yanahamia Dodoma RASMI. Mbona kuna maji ya salt kama kawa?
 
nikiwa rais nitaishi mwezini tanzania nitaiongoza kwa rimont.
 
Back
Top Bottom