Nashusha bei ya bia iwe inauzwa jero na soda ziwe zinauzwa 2500.
Mkapa, Jk, lowassa, Ngereja, Karamagi, Chenge, RA na Makinda wote RUMPANGO NO UTANI!!!!
nikiwa rais.... NAGOMA
elimu na afya bure kwa wote. migodi na rasilimali zetu ndizo zitakazofidia hizo gharama za elimu na afya.
nikiwa rais nitaishi mwezini tanzania nitaiongoza kwa rimont.
Nikiwa rais Mlima Kilimanjaro nauhamishia Dom ili majirani zetu wasiweze kupata kisingizio cha kuusema ni wao, kila raiya atakae panda milmani atapewa milioni kama motisha.