atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,552
- 9,806
[emoji23] [emoji23] huu ni Msiba kwa kweli[emoji24] [emoji24] [emoji24]Teh Teh Teh Teh Teh Teh!! Jamani mods tuoneeni huruma
[emoji23] [emoji23] huu ni Msiba kwa kweli[emoji24] [emoji24] [emoji24]Teh Teh Teh Teh Teh Teh!! Jamani mods tuoneeni huruma
Sooonn nitahama jf...imeshuka hadhi yake
Duh This is not the JF i know
Every single post has a lesson to learnJamii forum soon inaelekea kuwa Instagram
Fb imehamia JF aiseee!,hili ni tatizo Mod inabidi kuwe usahili kabla kujiunga,hii style sikuwahi kuiona kbs ya mtu kutuma pic eti Nipo ma mshikaji
Sikia mzee, siyo kwavile umeona 'jamii photos' ukadhani huku tunaleta picha zetu, mwenye mawazo kama yako alikuepo anajiita bikra La... Uzi wa kwanza umeweka picha watu wamekuonesha hivyo vitu huku si mahala pake ila unaonekana huelewi.
Ngoja niweke ya kwangu mkuu.Watu wa mikoani bwana
Upo?!...nmekuomba pic pm ukakimbiaNgoja niweke ya kwangu mkuu.
Mkuu ya chumbani tuyamalizie chumbani.Upo?!...nmekuomba pic pm ukakimbia