Nikiwa na rafiki yangu mpendwa

Nikiwa na rafiki yangu mpendwa

Hivi maregesi si majina ya musoma haya

na kule kunako ile kanda si ndo kupatikana sana bhange?

waliosema dishi limecheza hawakukosea, ishabangua tena
 
sasa kama uko na rafiki yako unataka tukusaidie nini, wapuuzi kweli nyie!!

Mwanaume unaanzaje kupiga picha ukiwa kifua wazi!!!! Nyie ndo hawa [emoji116] [emoji116]
 

Attachments

  • FB_IMG_1485414867957.jpg
    FB_IMG_1485414867957.jpg
    39.4 KB · Views: 75
ndo basi tena, nilijua atajifunza kutokana na kukosolewa kwa mara ya kwanza ila bado amerudia tena.....hili dish tena la ZUKU
 
wote wamevaaa suruali tatu tatu, huo mnuko wake utakua hatari baada ya siku mbili. "nafikiria tuu wajameni"
 
ma great thinker wetu wameamua kuonyesha vifua sasa!!
 
POA! Poa!
Wakwetu umechemka balaa
Huku Jamiiforums hatutumii majina halisi na wala hatuweki Picha za sura zetu, najua hujajua tofauti ya huku na Facebook.
Acha Mara moja hiyo tabia tena hilo jina(ID) achana nalo fungua lingine[emoji23] [emoji23]
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Wakwetu umechemka balaa
Huku Jamiiforums hatutumii majina halisi na wala hatuweki Picha za sura zetu, najua hujajua tofauti ya huku na Facebook.
Acha Mara moja hiyo tabia tena hilo jina(ID) achana nalo fungua lingine[emoji23] [emoji23]
[emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87]

[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Back
Top Bottom