GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 57,134
- 110,489
Mimi ni mwanamichezo, mwana Simba SC lia lia na napenda utani na utani wetu wa Simba na Yanga ila sipendi na sifurahii upumbavu (Upan'gang'a) pale ukitokea.
Nitamshangaa na nitawashangaa pia kuona wana Simba SC wenzangu wakinichukia kwa hili na hata kutoniunga mkono kama kweli wana Spirit of a Sportsmanship ambayo GENTAMYCINE imenitawala mno.
Na nasikitika kuona kuwa zaidi ya mara mbili mchezaji Clatous Chama amefanya tukio hilo hilo ila Uongozi wa Simba SC wala haujamchukulia hatua kali za kinidhamu.
Nimeendelea kushangaa zaidi kuona hata mchezaji Pape Sakho naye siku za karibuni amekuwa ni mtu wa kucheza rafu za kijinga, lakini hata jana alipomkanyaga vibaya mchezaji wa Mtibwa Sugar FC hadi leo hii uongozi wangu wa Simba SC haujamchukulia hatua yoyote ile.
Najua kuna watu watahoji kuwa ninajuaje kama Uongozi wa Simba SC haujawachukulia hizo hatua za kinidhamu?
Jibu ni kwamba GENTAMYCINE 75% ya wachezaji wazawa wa Simba SC na Yanga SC ni wana (marafiki) na wamenihakikishia kuwa si Inonga au Chama au Sakho ambao ameitwa kwa uongozi na kuonywa au hata kufungwa ili heshima iwepo na maadili yafuatwe kwa ustawi wa soka (mpira) hapa Tanzania na duniani kote.
Ninaomba hawa wafungiwe haraka.
Nitamshangaa na nitawashangaa pia kuona wana Simba SC wenzangu wakinichukia kwa hili na hata kutoniunga mkono kama kweli wana Spirit of a Sportsmanship ambayo GENTAMYCINE imenitawala mno.
Na nasikitika kuona kuwa zaidi ya mara mbili mchezaji Clatous Chama amefanya tukio hilo hilo ila Uongozi wa Simba SC wala haujamchukulia hatua kali za kinidhamu.
Nimeendelea kushangaa zaidi kuona hata mchezaji Pape Sakho naye siku za karibuni amekuwa ni mtu wa kucheza rafu za kijinga, lakini hata jana alipomkanyaga vibaya mchezaji wa Mtibwa Sugar FC hadi leo hii uongozi wangu wa Simba SC haujamchukulia hatua yoyote ile.
Najua kuna watu watahoji kuwa ninajuaje kama Uongozi wa Simba SC haujawachukulia hizo hatua za kinidhamu?
Jibu ni kwamba GENTAMYCINE 75% ya wachezaji wazawa wa Simba SC na Yanga SC ni wana (marafiki) na wamenihakikishia kuwa si Inonga au Chama au Sakho ambao ameitwa kwa uongozi na kuonywa au hata kufungwa ili heshima iwepo na maadili yafuatwe kwa ustawi wa soka (mpira) hapa Tanzania na duniani kote.
Ninaomba hawa wafungiwe haraka.