Kushuka kwa ubora wa ligi kuu Ya Tanzania walaumiwe Bodi ya ligi na TFF kwa kuwachekea marefa wanaochezesha hovyo kwa kuzilinda Simba SC na Yanga Sc

NALIA NGWENA

JF-Expert Member
Oct 6, 2016
10,288
12,782
Shirikisho la Kimataifa la Historia na Takwimu za mpira wa Miguu (IFHHS) limetoa takwimu ya Ligi 10 bora Afrika kwa mwaka 2023 na Tanzania imeshika nafasi ya 6 kutoka ya 5 mwaka 2022.

Pia kidunia imetoka nafasi ya 39 mwaka 2022 hadi ya 64 mwaka 2023.

Maoni Yangu: Sasa tupo nafasi 6 na siyo 5 Tena Kama tulivyokua tunajipa moyo na kujisifu katika ligi yetu.

NALIA NGWENA nilishangaa sana kuona ligi yetu ipo nafasi ya tano kwa ubora lakini ukiangalia kwenye michuano ya AFCON hakuna hata Refa kutoka katika ligi yetu hii inafikirisha sana.

Sasa ligi yetu inafatiliwa duniani kote Utumbo na uchezeshaji wa hovyo wa marefa kuzibeba Simba sc na Yanga sc inapelekea kushuka kiwango.

TFF na Bodi ya ligi na Marefa ndiyo wamechangia pakubwa kushuka ubora wa ligi yetu NBCPL.
1706183175000_1.jpg
 
Shirikisho la Kimataifa la Historia na Takwimu za mpira wa Miguu (IFHHS) limetoa takwimu ya Ligi 10 bora Afrika kwa mwaka 2023 na Tanzania imeshika nafasi ya 6 kutoka ya 5 mwaka 2022.

Pia kidunia imetoka nafasi ya 39 mwaka 2022 hadi ya 64 mwaka 2023.

Maoni Yangu: Sasa tupo nafasi 6 na siyo 5 Tena Kama tulivyokua tunajipa moyo na kujisifu katika ligi yetu.

NALIA NGWENA nilishangaa sana kuona ligi yetu ipo nafasi ya tano kwa ubora lakini ukiangalia kwenye michuano ya AFCON hakuna hata Refa kutoka katika ligi yetu hii inafikirisha sana.

Sasa ligi yetu inafatiliwa duniani kote Utumbo na uchezeshaji wa hovyo wa marefa kuzibeba Simba sc na Yanga sc inapelekea kushuka kiwango.

TFF na Bodi ya ligi na Marefa ndiyo wamechangia pakubwa kushuka ubora wa ligi yetu NBCPL.View attachment 2882454
Kwanza Ligi yenu Huwa siangalii Kwa sababu hizo hizo za marefu kupendelea Yanga na Simba
 
Kuna vitu uwa sivielewi, inawezekana vipi ligi yetu iwe ya 5/6 Afrika wakati timu zinacheza taratibu ,pass zinapotea hovyo, asilimia kubwa ya wachezji awawezi ku receive au kutoa pass ya kawaida ndani ya eneo la mita 10

Nguvu na ufundi viko Chini.
Viwanja vibovu, Marefa wabovu.
Intensity ya game ipo Chini na wachezji wengi wanachoka ndani ya dk 70.

Inawezekana vipi mchezaji ambaye maisha Yako yanategemea mpira achoke ndani ya dk 90 wakati izo dk 90 ni mazoezi binafsi ya mchezaji kabla ya kukutana na mwalimu na kuanza mazoezi ya pamoja katika program wachezaji na Kocha!!
 
Kuna vitu uwa sivielewi, inawezekana vipi ligi yetu iwe ya 5/6 Afrika wakati timu zinacheza taratibu ,pass zinapotea hovyo, asilimia kubwa ya wachezji awawezi ku receive au kutoa pass ya kawaida ndani ya eneo la mita 10

Nguvu na ufundi viko Chini.
Viwanja vibovu, Marefa wabovu.
Intensity ya game ipo Chini na wachezji wengi wanachoka ndani ya dk 70.

Inawezekana vipi mchezaji ambaye maisha Yako yanategemea mpira achoke ndani ya dk 90 wakati izo dk 90 ni mazoezi binafsi ya mchezaji kabla ya kukutana na mwalimu na kuanza mazoezi ya pamoja katika program wachezaji na Kocha!!
Ukicheza mpira ndo utaelewa... Wachezaji wengi tu epl walikua wanatoa maoni idadi ya mechi kwa mwaka zipunguzwe.... Wanasema wanashindwa kuhimili....

Kumbuka Hawa maisha Yao kuanzia utotoni ni mazoezi tu, wanakula vizuri, Wana wapishi binafsi hawali vyakula vya ajabu ajabu... Wana medical facilities grade A kabisa ila wanakuambia kucheza Kila baada ya siku 2 hutoboi
 
Kuna vitu uwa sivielewi, inawezekana vipi ligi yetu iwe ya 5/6 Afrika wakati timu zinacheza taratibu ,pass zinapotea hovyo, asilimia kubwa ya wachezji awawezi ku receive au kutoa pass ya kawaida ndani ya eneo la mita 10

Nguvu na ufundi viko Chini.
Viwanja vibovu, Marefa wabovu.
Intensity ya game ipo Chini na wachezji wengi wanachoka ndani ya dk 70.

Inawezekana vipi mchezaji ambaye maisha Yako yanategemea mpira achoke ndani ya dk 90 wakati izo dk 90 ni mazoezi binafsi ya mchezaji kabla ya kukutana na mwalimu na kuanza mazoezi ya pamoja katika program wachezaji na Kocha!!
Mkuu ukiangalia ni kama sio ubora labda ligi zinazopata coverage kubwa kwenye media,kuna ligi zingine ni nzuri tu ila bila coverage kwenye media zitaonekana vipi,sisi tumeingia kwenye ligi 10 bora baada ya Azam Media kuanza kurusha live, bila azam nadhani bado tungekuwa nyuma sana maana hata match fixing zingekuwa za wazi mno kama hizi live tu unaona marefa je bila media ingekwaje

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna vitu uwa sivielewi, inawezekana vipi ligi yetu iwe ya 5/6 Afrika wakati timu zinacheza taratibu ,pass zinapotea hovyo, asilimia kubwa ya wachezji awawezi ku receive au kutoa pass ya kawaida ndani ya eneo la mita 10

Nguvu na ufundi viko Chini.
Viwanja vibovu, Marefa wabovu.
Intensity ya game ipo Chini na wachezji wengi wanachoka ndani ya dk 70.

Inawezekana vipi mchezaji ambaye maisha Yako yanategemea mpira achoke ndani ya dk 90 wakati izo dk 90 ni mazoezi binafsi ya mchezaji kabla ya kukutana na mwalimu na kuanza mazoezi ya pamoja katika program wachezaji na Kocha!!
Unaelewa maana ya ligi? Kwa kifupi wachezaji wa kigeni ndio wanaoibeba ligi ya Tanzania
 
Unaelewa maana ya ligi? Kwa kifupi wachezaji wa kigeni ndio wanaoibeba ligi ya Tanzania
Hapana Mwaka 1993 Yanga walichukua ubingwa wa Afrika mashariki na kati hawakua na mchezaji wa kigeni, Simba wakicheza fainali ya CAF bila mchezaji wa kigeni.
Viwango na ushindani katika ligi vilikua juu kuliko ligi hii ya 2023/2024.
Wachezji wa kigeni wanatoa changamoto ila kwasasa wachezaji wetu wame lala fofo.
Mchezaji anafika uwanjani saa Moja asubuhi kocha anafika saa Moja na nusu, Alafu unataka uwe sawa na mgeni ambaye alishakua uwanjani Tangu saa 11:30 alfajiri anafanya mazoezi binafsi.

Mbaya zaidi mchezaji mpaka saa 3 usiku hajalala anakwenda Kidimbwi kula bata na Bado unataka kesho uwahi kuamka !!
 
Kabla ya yote viwanja kwanza! Ligi yetu ina viwanja vibovu mpk aibu aisee. Tff wangewaambia CCM wakarabati viwanja vyao kabla kuviruhusu kutumika ktk ligi ....ona lile dimba la amani znz.
 
Sijui hao wapangaji wanatumia vigezo gani kwa sababu hata hiyo nafasi ya 6 bado wametupendelea sana!
 
Shirikisho la Kimataifa la Historia na Takwimu za mpira wa Miguu (IFHHS) limetoa takwimu ya Ligi 10 bora Afrika kwa mwaka 2023 na Tanzania imeshika nafasi ya 6 kutoka ya 5 mwaka 2022.

Pia kidunia imetoka nafasi ya 39 mwaka 2022 hadi ya 64 mwaka 2023.

Maoni Yangu: Sasa tupo nafasi 6 na siyo 5 Tena Kama tulivyokua tunajipa moyo na kujisifu katika ligi yetu.

NALIA NGWENA nilishangaa sana kuona ligi yetu ipo nafasi ya tano kwa ubora lakini ukiangalia kwenye michuano ya AFCON hakuna hata Refa kutoka katika ligi yetu hii inafikirisha sana.

Sasa ligi yetu inafatiliwa duniani kote Utumbo na uchezeshaji wa hovyo wa marefa kuzibeba Simba sc na Yanga sc inapelekea kushuka kiwango.

TFF na Bodi ya ligi na Marefa ndiyo wamechangia pakubwa kushuka ubora wa ligi yetu NBCPL.View attachment 2882454
Kama una akili na ubbongo unaofanya kazi hilo shirika ni la mchongo sana. Hawana takwimu za maana na zenye ukweli.

Ukizungumza mpira wa afrika takwimu sahihi na zenye vigezo ni za caf,za dunia ni FifA, Ulaya ni Uefa.

Nb: Unakumbuka walimweka Yanga nafasi ya 3 Afrika kwamba Yanga ni bora zaidi ya hata bingwa wa cafcc.
 
Kuna vitu uwa sivielewi, inawezekana vipi ligi yetu iwe ya 5/6 Afrika wakati timu zinacheza taratibu ,pass zinapotea hovyo, asilimia kubwa ya wachezji awawezi ku receive au kutoa pass ya kawaida ndani ya eneo la mita 10

Nguvu na ufundi viko Chini.
Viwanja vibovu, Marefa wabovu.
Intensity ya game ipo Chini na wachezji wengi wanachoka ndani ya dk 70.

Inawezekana vipi mchezaji ambaye maisha Yako yanategemea mpira achoke ndani ya dk 90 wakati izo dk 90 ni mazoezi binafsi ya mchezaji kabla ya kukutana na mwalimu na kuanza mazoezi ya pamoja katika program wachezaji na Kocha!!
Pombe
 
Back
Top Bottom