Pape
JF-Expert Member
- Dec 11, 2008
- 5,488
- 79
Nanukuu...
Mimi nina tatizo moja ambalo linanisumbua sana! Ninapokuwa ninafanya mapenzi na mpenzi wangu waga tunaandaana vizuri tu mpaka yeye mwenyewe aniembie sasa unaweza kuingia!! Tatizo ni kwamba nikiingia tu na kuanza mara 1, 2, 3 hata kabla dakika moja haijamalizika 'ninafika mshindo' na kitu kinalala kabisa na kumuacha 'binti' akiwa hajafika popote!!
Wasiwasi wangu ni kuibiwa na manyang'au! Je nifanyaje ili niweze kumaliza naye pamoja? Au je nifanyaje angalau nami niwe nachelewa walau kiodogo hata kama ni dakika tano tu zinatosha!
Naombeni msaada wenu!