Niijuavyo Freemasonry

Niijuavyo Freemasonry

'You are not choosing freemason, freeamason chooses you'

Nimesahau ni quote ya nani.

Ili freemason wakutake ujiunge ni lazima uwe na ushawishi kwa kiwango fulani duniani.
Mfano Oprah Winfrey akisema anasapoti homosexuals itakua na impact kubwa dunia nzima kuliko Wema Sepetu, Jokate au Yemi Alade wakitamka maneno hayo hayo.

Namaanisha chances zako ni slim.

Grand Lodge ninayoijua na nadhani ndiyo maarufu ipo Posta, ilipo BOT ukiwa unaitazama BoT tembea kuelekea upande wa kulia ni mwendo wa hatua kumi.
 
Freemasonry huwa uombi kujiunga ili wao wakikutaka ndo ukuomba kujiunga nao,pia huwa hawachukui MTU asie na tija wala faida kwao isipokuwa mwenye ushawishi au mchango katika jamii.Wwe una mchango upi kwenye jamii? Kama si tajiri,msanii,msomi mkubwa wa kutumainiwa sahau.
 
Ndio unaweza kuunganishwa na tutakutoa kafara wewe mwenyewe kabla hatujakupa utajiri.
 
Mkuu sidhani kama upo serious kwenye maelezo yako umesema unafahamu baadhi ya majengo yao ya kuabudia kama huko moshi na dar sasa
Sasa Mkuu kama kweli uko serious si ufanye mpango uende huko kwenye hayo majengo tafuta wahusika then watakulikiliza

Anyway mwisho ila sio ya ulazima nenda jamii intelligence kuna kitu pale "Freemasons in and out" huko unaweza okota mawili matatu kwa issue yako
 
There is no such a thing call Freemason to began with.Freemason in sawa na mtu akuambie nitafutue Lulu au Mercury nyekundu.ni vitu ambavyo havipo duniani period.Freemason ni taasisi iliobuniwa kuwatapeli wajinga wenye tamaa .
 
Sio mbaya kufuraisha baraza
Nia yako ndani ya nafsi yako unaijua mwenyeo
 
There is no such a thing call Freemason to began with.Freemason in sawa na mtu akuambie nitafutue Lulu au Mercury nyekundu.ni vitu ambavyo havipo duniani period.Freemason ni taasisi iliobuniwa kuwatapeli wajinga wenye tamaa .
Mku upo u
There is no such a thing call Freemason to began with.Freemason in sawa na mtu akuambie nitafutue Lulu au Mercury nyekundu.ni vitu ambavyo havipo duniani period.Freemason ni taasisi iliobuniwa kuwatapeli wajinga wenye tamaa .
naweza ukawa unaishi af kumbe huna ubongo mkuu sio kwa pumba hii
 
1. Ni kijana mdogo lakini ushakata tamaa ya maisha, huoni tena vyanzo vyabpesa umeona ukimbilie huko.

2. Tamaa ya ujana ambayo ni ya muda mfupi itakayokuja kukifanya ujutie maisha yako yote ya ukibwani.

3. Freemasons sio taasisi unavyoifikiria wewe kwamba ni ya kuchuma fedha,

4. Zaidi ya hapo utapelekwa kwa waganga wale wa iringa, rukwa au kigoma upewe huo utajiri unaoutaka ambako ndio utakuja kuujutia. kwakuwa hakuna mtu anaeomba kujiunga freemasons. wote wanaosema wanaunganisha ni matapeli na wataishia kukupeleka kwa hao waganga.

5. Fanya kazi, ukishindwa njoo shamba ntakupatia hekari moja ulime ndugu yangu ujikomboe. acha mawazo finyu yaliyojaa kukata tamaa
 
Hongera kwa hoja nzuri yenye ufafanuzi ambao unaleta maana.naifahamu kiasi freemason natamani kuifahamu vizuri yaani kindakindaki,freemasoni hawana ubaya wo2te na hawakuwahi kileta ubaya mahali po2te duniani ndivyo navyo jua freemasoni wanahubiri amani wanahubiri kujitambua wanahubiri kujua maarifa,kwa namna nilivo wafahamu wanahubiri uhuru wako wanapenda uijue dunia kinaga ibaga wanataka binadam ajijue ye2 ni nani na kwa na nini anaishi?

je unadha ni kitu gani kiliwahi wapoteza binadamu wengi duniani kama hujui nakujuza kitu pekee kilicho wahi poteza binadam wengi zaid dunian ni migogoro ya kidini na ni kweli vita za siasa zimeua lakini dini zinazidi,wapi freemason walitajwa kuuwa watu au kunywa dam za watu kama watu wanavyo potosha.naendelea kujifunza mengi aliye poati hiyo juu amenipa maarifa zaidi,binafs sipendi unafiki sioni ubaya wa hawa jamaa wakati naendelea kujifnza kuhusu hao watu nilijiuliza maswali haya freemason nini?wanaishi wapi?kwa nini wapo?je ni kweli wanatoa utajiri?

je wanatoaje huo utajir au fedha?iko hivi freemason ni watu wenye ufahamu wa juu sana mtu yeyote ukiona amejiunga huko ujue anajitambua na anajua nini anafanya,ni kweli hawajamaa ni watu maarufu dunian amini nakwambia wanafundisha amani yako ya ndani si kukutisha,tulie nje ndio tunaonyeshana vitisho na kuwahukumu.natamani kuijua dunia natamani kumjua binadam ni nani hasa,nataman kuujua uhuru wangu, tuendelee kujifunza mengi ili tuwe huru
 
Uzi mkali mkuu,sema hiz habari nazipendaga japo na madhambi kibao
Me nawezaje kupata kitb cha MORAL AND DOGMA mkuu nisaidie!!!
 
hamis77, Wewe unasemaje? Maana nimeona unaeleza wanayosema wenzako tu

Ifike mahala kila mmoja ajue kuwa kesho yake ipo mikononi mwake. Hii kutegemea watu wengine waseme au watuambie ndo tutende, ndo kilikua chanzo cha utumwa na mpaka sasa watu bado watumwa.

Kitendo cha kuamini uwepo wa Mungu tu, ni utumwa tosha. Kusali sijui kufanyaje, vyote hivyo ni utumwa tu. Ni njia za wenye akili kuwatawala wasio na juhudi ya kutafuta maarifa wao wenyewe.

Ni ngumu kuelewa kwakua wamesha ozesha bongo zenu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom