Nihamie wapi kati ya Arusha na Mbeya?

Nihamie wapi kati ya Arusha na Mbeya?

Mkuu hamia mbeya tena nakushauri nenda Tunduma.Nakushauri uende huko kwa sababu zifuatazo
1:Hakuna ukabila kwenye ile boda,watu hawashughuliki kujua wewe ni nani na umetoka wapi,wapo bize na kutafuta pesa.Arusha kuna ukabila kiaina,ikiwa wewe si mzawa wa kaskazini itakuchukua muda kutengeneza chaneli hususani za biashara.

2:Ukiwa Tunduma utakutana na watu wa mataifa mbalimbali ambao wanafanya ujasiriamali wa kuuza na kununua bidhaa kama vile samaki,mahindi,ulezi nk kwa mtaji mdogo unaweza ukaanza na baadaye ukakua taratibu.Arusha fursa kama hizo zimebanwa sana.

Ikiwa utakua kimtaji na ukawa unaishi mbeya ni rahisi ukanunua mazao ya chakula na kupeleka Arusha kuuza,ukiwa Arusha huwezi kununua mazao kule na kupeleka Mbeya.

4:Watu wa Mbeya ni wakarimu kuliko wale wa Arusha,ni rahisi kupokelewa Mbeya hata na watu wasiokujua na ukaishi nao na kufanya mambo yako.Arusha ni ngumu kupokelewa kirahisi hususani kama sio mwenye asili ya kaskazini mwa Tanzania
Mwanangu Arusha hakuna huo ukabila na ukanda unaousema kabisa, kumbuka hili ni jiji lenye interaction na mataifa mbali mbali sana sasa huo ukabila unatoka wapi
 
Why mbeya mkuu nisaidie kwanini mbeya n not arusha..!
Mbeya fursa ni nyingi, maisha ya chini sana, kuanzia nyumba za kupanga hadi vyakula viko chini na vinapatikana kwa wingi.

Unaweza kuwekeza hata shambani, kuanzia Mbeya, Songwe hadi Rukwa kuna fursa kibao za kilimo na mashamba bei ya Kawaida tu.

Kwa mjini nakushauri Mbeya mjini ama Tunduma.... Tunduma pako poa zaidi mzunguko wa hela upo kifupi huwezi kulala na njaa labda uwe mzembe tu....

Arusha kunafaa kwenda kutumia pesa sio kutafuta pesa.
 
500k usisogee Arusha joooh.Baki tuu huko huko kwengine au Nenda Namanyere kabisa.
Mkuu mimi siyo wa mchezomchezo baba yangu kapiga WW2 hivyo hii damu siyo ya mchezo, ni mseminari nimefunzwa uvumilivu ni mtiifu zaidi ya watu wasiyojulikana, mpianaji pia...!

Dsm naona kunanicheleweshea kufikia my dream..
 
Hilo inategemea channel zako za pesa au biashara ndizo zitakazo amua. Unaweza kukuta unatakiwa kwenda Ntwara au Katavi kwa ntoto wa nkulima. Maisha ni popote
Mimj mjanja mjanja hii mikoa iliyozubaa hainifai sana..!
 
Mwanangu Arusha hakuna huo ukabila na ukanda unaousema kabisa, kumbuka hili ni jiji lenye interaction na mataifa mbali mbali sana sasa huo ukabila unatoka wapi
upo ukabila mwingi tu usikatae.
 
Arusha ipo vizuri katika mzunguko wa fedha kuliko Mbeya mbali sana na kufanikiwa Arusha ukipata mzunguko ni rahisi zaidi kuliko mbeya...urahisi wa mbeya ni chakula tuu..Mimi nimezaliwa na kukulia mbeya nilipotoka Nje niliishi Dar baadae nikaamia Arusha biashara na maisha wala sijutii kabisa...
 
Mkuu hamia mbeya tena nakushauri nenda Tunduma.Nakushauri uende huko kwa sababu zifuatazo
1:Hakuna ukabila kwenye ile boda,watu hawashughuliki kujua wewe ni nani na umetoka wapi,wapo bize na kutafuta pesa.Arusha kuna ukabila kiaina,ikiwa wewe si mzawa wa kaskazini itakuchukua muda kutengeneza chaneli hususani za biashara.

2:Ukiwa Tunduma utakutana na watu wa mataifa mbalimbali ambao wanafanya ujasiriamali wa kuuza na kununua bidhaa kama vile samaki,mahindi,ulezi nk kwa mtaji mdogo unaweza ukaanza na baadaye ukakua taratibu.Arusha fursa kama hizo zimebanwa sana.

Ikiwa utakua kimtaji na ukawa unaishi mbeya ni rahisi ukanunua mazao ya chakula na kupeleka Arusha kuuza,ukiwa Arusha huwezi kununua mazao kule na kupeleka Mbeya.

4:Watu wa Mbeya ni wakarimu kuliko wale wa Arusha,ni rahisi kupokelewa Mbeya hata na watu wasiokujua na ukaishi nao na kufanya mambo yako.Arusha ni ngumu kupokelewa kirahisi hususani kama sio mwenye asili ya kaskazini mwa Tanzania
Kwa hili ni kweli kabisa..
 
Mkuu mimi siyo wa mchezomchezo baba yangu kapiga WW2 hivyo hii damu siyo ya mchezo, ni mseminari nimefunzwa uvumilivu ni mtiifu zaidi ya watu wasiyojulikana, mpianaji pia...!

Dsm naona kunanicheleweshea kufikia my dream..
Okay dude...you are warmly welcome at Arusha.Talking about ex seminarians i know absolutely what the hell are you talking about.As a man and according to what you said about you therein above the city is applauding for you.Welcome lets keep on rolling the ball.
 
Easier as in what?Accomodation is fuckin expensive,nobody will help you when in need,if you go to mbeya some parts accomodation is so cheap,l used to live in a house of 3 rooms,sitting room and a toilet,water and electricity was available in the house,the rent was 85000 Tzs.which opportunities are you referring to,which are not in Mbeya.Pliz elaborate.
Mmhh! Ya ukweli haya??
 
Mwanangu Arusha hakuna huo ukabila na ukanda unaousema kabisa, kumbuka hili ni jiji lenye interaction na mataifa mbali mbali sana sasa huo ukabila unatoka wapi
Ata ukiwepo kawaida ni changamoto ndogo hizo...!
 
Mbeya fursa ni nyingi, maisha ya chini sana, kuanzia nyumba za kupanga hadi vyakula viko chini na vinapatikana kwa wingi.

Unaweza kuwekeza hata shambani, kuanzia Mbeya, Songwe hadi Rukwa kuna fursa kibao za kilimo na mashamba bei ya Kawaida tu.

Kwa mjini nakushauri Mbeya mjini ama Tunduma.... Tunduma pako poa zaidi mzunguko wa hela upo kifupi huwezi kulala na njaa labda uwe mzembe tu....

Arusha kunafaa kwenda kutumia pesa sio kutafuta pesa.
Kiukweli mbeya kunashawishi kifursa!
 
Back
Top Bottom