Nihamie wapi kati ya Arusha na Mbeya?

Nihamie wapi kati ya Arusha na Mbeya?

Mbeya maisha ni rahisi na biashara hata ukiwa na mtaji mdogo unaweza kujipanga ukarudi ukaishi Arusha huko mbeya ukahama ukiwa na mtaji mkubwa ndio uje arusha.
Mwanangu point hii...!

Wasiwasi wangu mbeya ni juu ya mzunguko wa pesa unaweza ukawa mdogo maisha yakabakia rahis kwenye msosi tuuh..
 
Kama unaudhoefu wa utalii njoo Arusha, kuna jumla ya makao makuu ya ofisi za kitalii 724 ambayo ni zaidi ya 96% ya makampuni ya kitalii yote yanayofanya kazi zake hapa nchini.
Sante! Nina bachelor ya utalii..
 
Ni kweli maisha hapa ni magumu kuliko mkoa wowote hapa nchini ila ukishashika chanel hutotaka kusikia ushauri wowote kutoka kwa mtu yeyote kuuhama huu mkoa
 
Mwanangu point hii...!

Wasiwasi wangu mbeya ni juu ya mzunguko wa pesa unaweza ukawa mdogo maisha yakabakia rahis kwenye msosi tuuh..[/QUOTE
Nyumba kupanga mbeya ni cheap kuliko arusha,zipo biashara nyingi mbeya ila unaenda huko kwa lengo la kujiongezea mtaji wakuja kuhamia arusha.Utapata pesa haitaishia kwenye chakula tu,jiweke mbeya uwe unaletaa biashara arusha,yaani uwe mbeya unaishi biashara iwe ualeta arusha then huko mbeleni uhamie arusha.
 
500k usisogee Arusha joooh.Baki tuu huko huko kwengine au Nenda Namanyere kabisa.
 
Nenda ARUSHA mkuu maana ndio mji wa ndoto yangu huo.
'Omarion' Arusha sio mji wa kuvamia vamia lazima ujipange vizuri,nimeishi arusha na kuhama na kurudi na kuhama na kurudi kwa kazi zangu zilivyo,lakini Arusha sio pa sportsport na ukiweza kuishi arusha mkoa wowote utaishi,ila mbeya na watu wake ni wakarim mno kushinda watu wa arusha ni wakorofi na wababe,ila mbeya achunge roba za mbao.Mpaka sasa hivi nipo Arusha.
 
Hilo inategemea channel zako za pesa au biashara ndizo zitakazo amua. Unaweza kukuta unatakiwa kwenda Ntwara au Katavi kwa ntoto wa nkulima. Maisha ni popote
 
Mwanangu point hii...!

Wasiwasi wangu mbeya ni juu ya mzunguko wa pesa unaweza ukawa mdogo maisha yakabakia rahis kwenye msosi tuuh..
Ukija nitafute mimi nikupe michongo, ila uwe na pa kufikia kozi sipendagi wageni wa kiume kwangu maana na wivu sana na wife wangu usije ukaniibia, huyu mama watoto wangu ndio alinifanya nikafika Buenas Aire huko Argentina baada ya kupendwa nae huko Serengeti
 
Mkuu hamia mbeya tena nakushauri nenda Tunduma.Nakushauri uende huko kwa sababu zifuatazo
1:Hakuna ukabila kwenye ile boda,watu hawashughuliki kujua wewe ni nani na umetoka wapi,wapo bize na kutafuta pesa.Arusha kuna ukabila kiaina,ikiwa wewe si mzawa wa kaskazini itakuchukua muda kutengeneza chaneli hususani za biashara.

2:Ukiwa Tunduma utakutana na watu wa mataifa mbalimbali ambao wanafanya ujasiriamali wa kuuza na kununua bidhaa kama vile samaki,mahindi,ulezi nk kwa mtaji mdogo unaweza ukaanza na baadaye ukakua taratibu.Arusha fursa kama hizo zimebanwa sana.

Ikiwa utakua kimtaji na ukawa unaishi mbeya ni rahisi ukanunua mazao ya chakula na kupeleka Arusha kuuza,ukiwa Arusha huwezi kununua mazao kule na kupeleka Mbeya.

4:Watu wa Mbeya ni wakarimu kuliko wale wa Arusha,ni rahisi kupokelewa Mbeya hata na watu wasiokujua na ukaishi nao na kufanya mambo yako.Arusha ni ngumu kupokelewa kirahisi hususani kama sio mwenye asili ya kaskazini mwa Tanzania
 
Ukija nitafute mimi nikupe michongo, ila uwe na pa kufikia kozi sipendagi wageni wa kiume kwangu maana na wivu sana na wife wangu usije ukaniibia, huyu mama watoto wangu ndio alinifanya nikafika Buenas Aire huko Argentina baada ya kupendwa nae huko Serengeti
Mkuu mimi mlokole braza hakika km nitakuja ata ukinihifadhi tegemea nikama kumtunza Yusufu kwa farao..!

Cha ziada ni mseminari hivyo ninamafunzo ya uvumilivi sana, ata mkeo anitake hakika hawezi nipata zaidi ya kunichongea kwako unifukuze kama Yusufu kwa farao...! Ndugu yangu nakuja pm tuwasiliane unishauri jamaa yangu..!
 
'Omarion' Arusha sio mji wa kuvamia vamia lazima ujipange vizuri,nimeishi arusha na kuhama na kurudi na kuhama na kurudi kwa kazi zangu zilivyo,lakini Arusha sio pa sportsport na ukiweza kuishi arusha mkoa wowote utaishi,ila mbeya na watu wake ni wakarim mno kushinda watu wa arusha ni wakorofi na wababe,ila mbeya achunge roba za mbao.Mpaka sasa hivi nipo Arusha.
Mimi siyo wa mchezomchezo pia, durable and courager...
 
Njoo jaribu maisha mwanangu mtu asikutishie, yaani hapa Ars kukwea pipa kwenda kwa clinton ni wewe tu kama vile hili ni jimbo la United State kamanda
Afu nina kijimchongo fulani USA ila hapa dsm waziba fursa wengi ata ndugu wanakubania waafrika bhana..
 
In Arusha Life is much easier and there are also many opportunities to succeed in life...Thanks
Easier as in what?Accomodation is fuckin expensive,nobody will help you when in need,if you go to mbeya some parts accomodation is so cheap,l used to live in a house of 3 rooms,sitting room and a toilet,water and electricity was available in the house,the rent was 85000 Tzs.which opportunities are you referring to,which are not in Mbeya.Pliz elaborate.
 
Back
Top Bottom