- Thread starter
- #41
Na ninaweza sema ukweli..!Njoo Arusha uishi kama upo Ulaya
Na ninaweza sema ukweli..!Njoo Arusha uishi kama upo Ulaya
Itapendeza zaidiDdm ama??
Arusha kwa mbali napajua..! Nishawishi preta kwa maana ya fursa.Arusha.......jiji la madolare.......
njoo........
Nimechoka kuunganishwa na kashifa za ukosefu wa powerjam za wanaume wa dsm..Mzee alisema mapema mtakimbia town wenyewe
Dsm siyo kwamba kumenishinda kiivyo shida ni target zangu nitarudi ngoja nikakusanye nguvuIkiwa dar pamekushinda bora uhamie mbeya, Arusha ni pagumu kutoka kwa miaka hii
Why R- chuga??R-chuga
Rudisha mpira kwa kipa ujipange upyaNimechoka kuunganishwa na kashifa za ukosefu wa powerjam za wanaume wa dsm..
Haswaa..!Utarudi kunipa mrejesho nenda Mbeya.atayekushauri uende Arusha mfate PM akufafanulie kinagaubaga
Wapi huko mkuu?Subiri kidogo hali ya Zimbabwe itulie kisha uhamie kule mkuu.
Kule kukavu sana mkuu!Itapendeza zaidi
Umeona eeh..!Rudisha mpira kwa kipa ujipange upya
Tatizo ni pale mgonjwa anapochelewa kumwambia dalili Daktari .. kama unakauzoefu na utalii na kama unataka kuingia kwny maswala ya utalii Arusha ndo nyumbaniMimi nina kijiuzefu na issue za tourism..!
Haito dhuluKule kukavu sana mkuu!
Basi nenda Arusha kuna fursa nyingi zinazohusu tourism. Hutakosa shughuri...kampuni nyingi na wageni ni wengi sana kuleMimi nina kijiuzefu na issue za tourism..!
Pole dokta! Niliogopa kuwamisslead watu wasije kuwa too judgemental.Tatizo ni pale mgonjwa anapochelewa kumwambia dalili Daktari .. kama unakauzoefu na utalii na kama unataka kuingia kwny maswala ya utalii Arusha ndo nyumbani
Mkuu niliwahi ishi ddm for sixmonths ilikuwa issue kukavu mnoHaito dhulu
Kwani wewe mkuu unataka sehemu yenye unyevu unajihusisha na kilimo? au kukavu hakuna pesa?Mkuu niliwahi ishi ddm for sixmonths ilikuwa issue kukavu mno
Pia hali ya hewa siyo mbaya braza ikiwa poah..! Dodoma km vile kugumu vilevile.Kwani wewe mkuu unataka sehemu yenye unyevu unajihusisha na kilimo? au kukavu hakuna pesa?