Andrew Tate
JF-Expert Member
- Jun 28, 2020
- 3,891
- 5,953
Na Ndugai alimuona mke wa Yesu Galilaya.Nchi nyingi za ulaya zinapokea waislamu wengi sana, si ajabu hata kuna mitaa ambayo ni ya waislamu tu (wakristo hawaruhusiwi)
waislamu hujazana kwa hizi mbinu
-Kuomba kuishi ulaya, wengi hupewa ruhusa ya visa kwasababu nchini kwao kuna vita na maisha duni, wakifika ulaya wanaita familia zao.
-Sheria dhaifu kwa wazamiaji - nchi kama za uingereza, ufaransa, n.k hata ukizamia kiharamu sio kesi sana, kuna vyama vya siasa kibao vinalinda wahamiaji haramu na mashirika mengi yanatotoa misaada kwa maharamia.
-Kuzaliana sana ili kuongeza idadi, waislam huwa na watoto 4 hadi 6 ila wakristo wengi hasa wazungu huzaa mtoto moja tu, wengine hawana habari kabisa na ndoa wengine mashoga, n.k
-Kuoa mabinti wa kikristo na kuwabadili dini
-kushawishi wakristo kubadili dini wawe waislamu, hili linafanikiwa mno, imefikia kipindi makanisa yanabomolewa na kugeuzwa misikiti
Kwenye hesabu kuna kitu kinaitwa "compunding" ni swala la muda tu ulaya itakuwa chini ya waislamu,
Namba zinaongea, kwa sasa miji majiji kama London yana waislam kibao na Mayor wa London ni muislamu anaepewa sapoti kubwa na waislamu, kadri ulaya itavyozidi kuwa na waislamu wengi basi viongozi wengi watakuwa waislamu na ulaya itakuwa ya kiislamu.
Hilo sahau kabisa ndugu, kama mnajidanganya hivyo mnaacha kwenda na wakati Ngoja nikujuze kidogoNchi nyingi za ulaya zinapokea waislamu wengi sana, si ajabu hata kuna mitaa ambayo ni ya waislamu tu (wakristo hawaruhusiwi)
waislamu hujazana kwa hizi mbinu
-Kuomba kuishi ulaya, wengi hupewa ruhusa ya visa kwasababu nchini kwao kuna vita na maisha duni, wakifika ulaya wanaita familia zao.
-Sheria dhaifu kwa wazamiaji - nchi kama za uingereza, ufaransa, n.k hata ukizamia kiharamu sio kesi sana, kuna vyama vya siasa kibao vinalinda wahamiaji haramu na mashirika mengi yanatotoa misaada kwa maharamia.
-Kuzaliana sana ili kuongeza idadi, waislam huwa na watoto 4 hadi 6 ila wakristo wengi hasa wazungu huzaa mtoto moja tu, wengine hawana habari kabisa na ndoa wengine mashoga, n.k
-Kuoa mabinti wa kikristo na kuwabadili dini
-kushawishi wakristo kubadili dini wawe waislamu, hili linafanikiwa mno, imefikia kipindi makanisa yanabomolewa na kugeuzwa misikiti
Kwenye hesabu kuna kitu kinaitwa "compunding" ni swala la muda tu ulaya itakuwa chini ya waislamu,
Namba zinaongea, kwa sasa miji majiji kama London yana waislam kibao na Mayor wa London ni muislamu anaepewa sapoti kubwa na waislamu, kadri ulaya itavyozidi kuwa na waislamu wengi basi viongozi wengi watakuwa waislamu na ulaya itakuwa ya kiislamu.
Soma na kuelewa maada vizuri mkuu, zinazungumziwa nchi za ulaya sio za kiarabu.
Nani aliekudanganya hivyo ? waislamu wengi ulaya wanazaliana watoto 4 hadi 6 kwanini wasijae kuzidi wazungu ambao wanazaa mtoto 1, kuoana jinsia sawa, kubadilisha jinsia , n.k.... hao wabudha misingi yao haijajikita sana kwenye kuzaliana, wao wakizaa mtoto 1 au wawili wameridhika.
Yawezekana huna dini ama una dini tu kwasababu uliikuta kwa wazazi wako, "sheria zinazoendana na dunia ya sasa" !! hapa rudi kwenye fani yako ya fasihi, dini huku huna ujuzi wowote
hivi unaongea nini wewe !! 🧐🧐
Hilo sahau kabisa ndugu, kama mnajidanganya hivyo mnaacha kwenda na wakati Ngoja nikujuze kidogo
Kwa takwimu za 2022 idadi ya Wakristo wote ulimwenguni inakadriwa kuwa bilioni 2.4 huku Waislam ikiwa bilioni 1.9
Kwa Africa ukitoa nchi kama nigeria ambayo mnawateka na kuwalazimisha kuwa muslim bado wakristo ni asilimia 50.
Wakristo wengi wako Africa kuliko bara lingine lolote, inakadriwa kuwa na wafuasi milioni 685 wakristo na inakadriwa kufikia 2025 watafikia milioni 760 huku muslims wakiwa milioni 450.
Sasa twende kwenye takwimu za ukuaji wa hizi dini mbili, wakati wakristo wakakadiriwa kufikia bilioni 3 out of 9.3 bilioni ya watu wote duniani by 2050, muslims inakadriwa kufikia bilioni 2.8 by 2050 kutoka 1.9 ya mwaka huu. Hivyo hata ndani ya miaka 50 ijayo christian religion itaendelea kuwa ndo dini kubwa na yenye wafuasi wengi duniani.
Uislamu haujaenea africa na Ulaya kwa sababu ni dini ya kulazimishwa, ukitoa nchi kama Morroco, Algeria, Egypt, Tunisia, UAE na Mashariki ya Kati sehemu zilizobaki duniani Uislam haujaenea kama ukristo ambao upo Africa 80%, Ulaya 75%, America kasikazini 78%, America kusini 99%, Asia 52% kwa takwimu za mwaka huu.
Angalia tenaujionee mwenyewe kwenye ramani, je huyo usilaumu unaosema utakuwa ndo dini ya ulimwengu nazani Unatakiwa kutathmini kauli yako upya?
Hakuna mtu anayeweza kulazimishwa afuate misingi ya dini ktk zama hizi, msipobadilika mtaendelea kuchonga na nyuzi zenu kama hizi ili mpate attention tu.View attachment 2228535
Waarabu wa nyakati zote ni wajinga.
Swali: wewe unaishi ulaya au unapinga tu ?unaongea mambo usiyo na elimu nayo, Jiografia ya Kidato cha sita ingekutosha kuelewa kuwa unachoongea ni uongo.
Kawadanganye watoto wenzako, unafikiri Sera za uzazi na malezi Kwa watoto Ulaya ni Kama Asia na Afrika,
Unafikiri unazaazaa hovyo😀😀
Ndio maana nikakuambia Shule ni muhimu Sana hasa masomo ya Jiografia ili uelewe Dunia inaendaje.
Ulaya kuzaa ni gharama usidhanu Wazungu hawapendi kuzaa😀😀
Sasa Kama vijiweni ndio mnadanganyana ati Muarabu akifika Ulaya anazaa watoto sijui wanne sijui watano na Mzungu anazaa mmoja endeleeni kudanganyaba hivyo hivyo.
Hawa watu wananichekesha kweli, mtu anawaza tu kichwani then anaanza kuandika mambo kama hayo bila hata kufanya tafiti.unaongea mambo usiyo na elimu nayo, Jiografia ya Kidato cha sita ingekutosha kuelewa kuwa unachoongea ni uongo.
Kawadanganye watoto wenzako, unafikiri Sera za uzazi na malezi Kwa watoto Ulaya ni Kama Asia na Afrika,
Unafikiri unazaazaa hovyo
Ndio maana nikakuambia Shule ni muhimu Sana hasa masomo ya Jiografia ili uelewe Dunia inaendaje.
Ulaya kuzaa ni gharama usidhanu Wazungu hawapendi kuzaa
Sasa Kama vijiweni ndio mnadanganyana ati Muarabu akifika Ulaya anazaa watoto sijui wanne sijui watano na Mzungu anazaa mmoja endeleeni kudanganyaba hivyo hivyo.
Hiyo ni campaign ya Waarabu ila hawatafanikiwa wazungu sio mafala kihivyoKweli ni hatari sana mambo yanavyokwenda uislam utaiteka Ulaya na itakuwa shida kuu kama alivyotabiri Nostradamus miaka zaidi ya 400 iliyopita.
Tumewaza sawa, sio busara kurudia tena...Sasa ww hao waislamu wakijazana huko Ulaya au Marekani na kuzidi idadi ya wakristo binafsi inakusaidia kitu gani? Watu huwajui na Wala hawakujui kwann ushughulike na maisha yao?
Hizi dini zingine theory zake zikiwajaa sana kwenye ubongo zinawapekea kuwaza ujinga ujinga muda mwingi.
Jipeni MOYO ILI HALI WENZENU WANASONGA MBELEKwa YESU kila goti litapigwa.
Sio kwamba vyama vinawalinda wahamiaji haramu,wanaziba masikio Ili kupata mtaji wa nguvu Kazi wahamiaji haramu wote Hakuna anaefugwa ni lzm watafanya Kazi zile cheap tena ndogo ndogo mfano ufagizi, dishwasher, mashambani, nk hizi Kazi ni ngumu Sana kufanywa na wazawa. Hawa wahamiaji ni ngumu Sana kufanya Kazi professional. Wamefungulia goli Ili kupata cheap labour wameangalia faida za kiuchumi zaidi. Brain ndio itatawala dunia na sio dini, pili wahamiaji awajaanza leo kuhamia ulaya na USA. Na hata hao waislamu wakiingia Ulaya ukutana na sheria na mambo ya kizungu ambayo yanauwa tamaduni za kiislamu wanabakia kuwa waislamu jina wa kwenda msikitini na kurudi, tatu Mzungu anashida na dini wao walishatoka huko.Vyama vya siasa vinatafta mtaji wa kura za uhakika kupitia uislamu, hivyo vyama vinalinda sana waislamu na hata wakija kwa njia za panya wanapewa uraia....
Mfano kwa sasa jiji la london, Mayor wake ni muislamu na anapendwa sana na waislamu wengi, huu ni mwanzo tu, kuni zinachochewa moto.
Flp 2:10-11 SUVSijaelewa kitu hapo
Umechambua vizuri sana mkuu. Hawa wavaa makobasi baada ya kuona dini yao haina hoja za kueneza kwa amani sasa wamekuja na propaganda kama hizi za kutunga alizoleta mleta uzi. Wanasahau hata huko mashariki ya kati kuna wakristu wengi tu kama UAE, OMAN, QATAR na KUWAIT je na wakristo watakuja kuzitawala hizi nchi kwa wingi wao.Hilo sahau kabisa ndugu, kama mnajidanganya hivyo mnaacha kwenda na wakati Ngoja nikujuze kidogo
Kwa takwimu za 2022 idadi ya Wakristo wote ulimwenguni inakadriwa kuwa bilioni 2.4 huku Waislam ikiwa bilioni 1.9
Kwa Africa ukitoa nchi kama nigeria ambayo mnawateka na kuwalazimisha kuwa muslim bado wakristo ni asilimia 50.
Wakristo wengi wako Africa kuliko bara lingine lolote, inakadriwa kuwa na wafuasi milioni 685 wakristo na inakadriwa kufikia 2025 watafikia milioni 760 huku muslims wakiwa milioni 450.
Sasa twende kwenye takwimu za ukuaji wa hizi dini mbili, wakati wakristo wakakadiriwa kufikia bilioni 3 out of 9.3 bilioni ya watu wote duniani by 2050, muslims inakadriwa kufikia bilioni 2.8 by 2050 kutoka 1.9 ya mwaka huu. Hivyo hata ndani ya miaka 50 ijayo christian religion itaendelea kuwa ndo dini kubwa na yenye wafuasi wengi duniani.
Uislamu haujaenea africa na Ulaya kwa sababu ni dini ya kulazimishwa, ukitoa nchi kama Morroco, Algeria, Egypt, Tunisia, UAE na Mashariki ya Kati sehemu zilizobaki duniani Uislam haujaenea kama ukristo ambao upo Africa 80%, Ulaya 75%, America kasikazini 78%, America kusini 99%, Asia 52% kwa takwimu za mwaka huu.
Angalia tenaujionee mwenyewe kwenye ramani, je huyo usilaumu unaosema utakuwa ndo dini ya ulimwengu nazani Unatakiwa kutathmini kauli yako upya?
Hakuna mtu anayeweza kulazimishwa afuate misingi ya dini ktk zama hizi, msipobadilika mtaendelea kuchonga na nyuzi zenu kama hizi ili mpate attention tu.View attachment 2228535
Mkuu wewe uko Ulaya?waislamu na hata wakija
Nakuambia wazungu walishachelewa sana kwenye hili.Hiyo ni campaign ya Waarabu ila hawatafanikiwa wazungu sio mafala kihivyo