Nigeria: Mwanaume aomba ushauri kufuatia mke wake kufariki baada ya majibu ya DNA

Moronight walker

JF-Expert Member
Aug 3, 2021
3,105
4,635
Imetokea nigeria mwanaume mmoja aliamua kupima watoto wake wawili DNA.

Majibu yakatoka watoto wote si wake.

Mkewe akafa ghafla baada ya kupata majibu.

Ungekuwa weae ungechukua uamuzi gani kwa watoto au unampa ushauri gani huyo jamaa.

Screenshot_20230521-203628_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom