My Honest Book
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 1,356
- 2,100
Mimi ni mkatoliki japo mara ya mwisho kwenda kanisani ni almost two years ago,haimaanishi nimepoteza imani la hasha niko vzuri,
Japo sio mzuri sana wa vifungu vya biblia km tulivyo wakatoliki wengi.
Kwa kumbukumbu zangu zilizosahihi enzi za ukuaji wangu enzi hizo niko primary mpk mitaa ya form one nimewahi kuokoka km mara kumi,ni vile mtoto ukisikia mikutano ya injili unatia timu hujakaa sawa unasikia km hunaokoka pita mbele,hata kabla hujavuta pumzi unasikia fumben macho na mrudie maneno nitakayoongea,anasema Mh Mchungaji..
Utasikia "nifute kwny kitabu cha kuzimu na moto wa milele niandike kwny kitabu cha uzima"
Sasa naomba kuuliza hili swala la kufutwa na kuandikwa kwny hivi vitabu liko kwny maandiko kwmb mpk sasa kuna watu wako top ten ya kwny kitabu cha motoni ama ni lugha ya picha inayotumiwa na wachungaji kumcomfort anaeombewa kumpa zile hisia za kuandikwa kwny kitabu cha uzima
Karibuni watu wa mataifa mnipe muongozo
Japo sio mzuri sana wa vifungu vya biblia km tulivyo wakatoliki wengi.
Kwa kumbukumbu zangu zilizosahihi enzi za ukuaji wangu enzi hizo niko primary mpk mitaa ya form one nimewahi kuokoka km mara kumi,ni vile mtoto ukisikia mikutano ya injili unatia timu hujakaa sawa unasikia km hunaokoka pita mbele,hata kabla hujavuta pumzi unasikia fumben macho na mrudie maneno nitakayoongea,anasema Mh Mchungaji..
Utasikia "nifute kwny kitabu cha kuzimu na moto wa milele niandike kwny kitabu cha uzima"
Sasa naomba kuuliza hili swala la kufutwa na kuandikwa kwny hivi vitabu liko kwny maandiko kwmb mpk sasa kuna watu wako top ten ya kwny kitabu cha motoni ama ni lugha ya picha inayotumiwa na wachungaji kumcomfort anaeombewa kumpa zile hisia za kuandikwa kwny kitabu cha uzima
Karibuni watu wa mataifa mnipe muongozo