CONTROLA
JF-Expert Member
- Sep 15, 2019
- 7,166
- 24,119
- Thread starter
- #41
Nmeijua Mkuu, ile milango ya Bati Hapana Mkuu yani BATI ni BATI hata liwekweje.Ni aina ya mllango fulani ambayo imetengenezwa na material ya chuma na bati na ukiweka hautahitaji kuweka mageti au grill. Pia Ina muonekano mzuri sana inapatikana kwenye hardware kubwa kariakoo. uliza security door za nje watakuonyesha.
Kwa usalama nakubaliana na wewe ila kwa muonekano Mkuu Status ya MBAO sidhani kama Chuma itakuta.
WEzi wa siku hizi wame Advance hawatumiii tena Milango wanaptia madirishani na hivi watu wanaweka vi Aluminium na vi grill la square pipe chache yani Madirishani ndio Loophole nyingi zilipo kwa sasa.