Nifanyeje Kupunguza Gharama za Milango?

Nifanyeje Kupunguza Gharama za Milango?

Haya ni makapi ,ikipigwa kifatuma kimoja mpaka ndani.
1000066074.jpg
 
kama una jamaa kati ya tabora, goweko na mpanda jaribu kumcheki maana kwa maeneo hayo milango ya mninga/mkongo/mkurungu inapatikana kwa bei rahisi sana na taratibu za usafiri unatumia trc ambao bei yao ni ndogo sana.
Chukua huu ushauri mzuri sana hayo maeneo mlango mzuri mbao mbao nzuri unapata kwa 180 kuhusu usafiri wanajua wao wanajua wachie
 
Katika Maeneo yananipasua Kichwa eneo la Finishing ya nyumba ni Milango.

Yani kuna wakati natamani kuweka hata mabati, ilimradi Mlango

Naomba Wazoefu eneo hili mnisaidie Huwa mnafanyaje mkifika eneo la KUWEKA milango nyumba.

Gharama za mlango Mmoja Wa Mbao ya Mkongo inafika hadi 1m na zaidi.

Nyumba yenye Milango 6 maana yake inatoka sio chini ya 6m.

Hapo Hujaenda GETINI kuandaa GETI...

Upande Wa GETI huwa sipati shida kwani najiandaaga kwa Kununua MABATI,Square Pipe,vinatulia kusubiri Muda napata hela kisha naita Fundi Geti linapatikana.

Kwenye MILANGO naombeni mnisaidie mawazo mliyotumia

Binafsi nawaza kukusanya mbao kama mbao kisha baadae nije tengeneza Mlango, Hii imekaaje kuhusu Ubora na Gharama ndugu zangu,kuna kitu ntaokoa au ni yale yale?

Kuna milango ya Chuma Naombeni msiiiweke katika OPTIONS naombeni mnisaidie kuokoa gharama kwenye Milango ya Mbao tu.

Kama Kuna Fundi Pia au Muuza Mbao naomba ajitokeze, Msaada wenu tafadhali.

View attachment 3330414
Kama huna fedha za kununulia lango kama Hilo milioni Moja na nusu na mingine ya ndani milioni milioni basi wahi chap chap kwenye used doors toka majumba ya Masaki
Inbox nikuambie wapi (commission lazima)
 
Mbao za kawaida mmh ila Kwa choon ungewek milango ya aluminium naona ni mizur sana Kwa milango ya kawaida ukiweka bafun ama choon Kwa mda flan inapuputika sehem za chin zilizopita maji mda mrefu na kuoza
Choo kikiwa kidogo ndio mlango wa Mbao haufai ila kwa vyoo ambavyo vina SPACE vikubwa mithili ya chumba Mlango ni MBAO tu.

Choo kidogo ambacho ukioga shower maji yaukuta Mlango hamna mbadala wa Alumium na Alcoboard.
 
Katika Maeneo yananipasua Kichwa eneo la Finishing ya nyumba ni Milango.

Yani kuna wakati natamani kuweka hata mabati, ilimradi Mlango

Naomba Wazoefu eneo hili mnisaidie Huwa mnafanyaje mkifika eneo la KUWEKA milango nyumba.

Gharama za mlango Mmoja Wa Mbao ya Mkongo inafika hadi 1m na zaidi.

Nyumba yenye Milango 6 maana yake inatoka sio chini ya 6m.

Hapo Hujaenda GETINI kuandaa GETI...

Upande Wa GETI huwa sipati shida kwani najiandaaga kwa Kununua MABATI,Square Pipe,vinatulia kusubiri Muda napata hela kisha naita Fundi Geti linapatikana.

Kwenye MILANGO naombeni mnisaidie mawazo mliyotumia

Binafsi nawaza kukusanya mbao kama mbao kisha baadae nije tengeneza Mlango, Hii imekaaje kuhusu Ubora na Gharama ndugu zangu,kuna kitu ntaokoa au ni yale yale?

Kuna milango ya Chuma Naombeni msiiiweke katika OPTIONS naombeni mnisaidie kuokoa gharama kwenye Milango ya Mbao tu.

Kama Kuna Fundi Pia au Muuza Mbao naomba ajitokeze, Msaada wenu tafadhali.

View attachment 3330414
Nyumba ni milango, kazana.
 
Ukiweka hiyo security door hautakiwi kabisa kuongezea mlango wa mbao?
Hauhitajiki,
Huyo kaleta mbwembwe nenda kwa mafundi welding hata hapo mtaani kwako.
Watakuundia hiyo milango fresh tu watakutajia vitu vya kununua masheet ya chuma,frem za chuma square pipes unaenda gerezani kariakoo unanunua (kama upo dsm) kama mikoani kwenye mahardware watakuwa wanauza.
ma sheet milango yameshatengenezwa yanaurembo unachagua urembo unaotaka
unanunua kitasa unachotaka .
Hao mafundi wa welding watakuja kukutengenezeq huo mlango hapohapo nyumbani kwako .
Mimi ninaunda huo mlango kwa ajili ya apartment ya kupangisha niliyoimalizia nimeambatisha picha chini
Gharama za material laki 380,000 ufundi pamoja na kuufitisha 200,00.
 

Attachments

  • 20250511_163915.jpg
    20250511_163915.jpg
    613.3 KB · Views: 31
Back
Top Bottom