Nifanyeje ili niondokane na maumivu haya?

Nifanyeje ili niondokane na maumivu haya?

Umri wako bado sana,soma,sali.
Mpaka ukafikie hatua ya kuoa sidhan km utakosa wa kufanana na ww kitabia mkikaa mnasikilizana
Asante mkuu lakn nifanyaje ili nijitoe huku nilko
 
He is too young to be stressed kiasi hicho. Afu he doesn't have to beg anybody to love him. I wish angejua thamani yake akaamua kujikeep busy na masomo yake Coz akidisco hapo ndo atadata vizuri na wala haitomuhusu mdada kabisa. Afu hadi nimecheka eti, aende kwa mganga ili apendwe Mmh. Sometimes; with age comes wisdom. Ngoja kwanza mapenzi yamuoneshe jinsi yalivyo, ndo anakomaa

Yes atakomaa tu with time, tatizo hadi kufikia kukomaa atakuwa kaishalost kabisaaaa
 
Huyo nakuhakikishia hautakaa umwoe kwa sababu anakuona kama mko sawa, atakusumbua sana.

Na acha kabisa kuwaza kwenda kwa mganga, ongeza jitihada kwenye masomo yako, ukifanya vizuri sana atakuheshimu, na mafanikio yako ya mbeleni yatakupa mwelekeo wa kupata mwanamke mzuri anayekupa heshima unayostahili.

Soma kijana, mchukulie kama mpenzi wa kupitisha naye ujana, ikija mkaoana iwe bahati, ila ukianza kumpa ahadi za kuoana wakati yeye anajiona bado binti mbichi anaona unamzingua tu.

Asante kaka nimekuelewa vzur tena sana na ntajitahid kufanyia kaz ushaur wako
 
Mkuu nataman sana unitumie akili lakn najikuta narud nyuma plz naomba unisaidie labda nifanye vitu GAN?

Mtu yeyote hawezi kukubadili kitabia kabla hajakubadili kifikira ambapo utakuwa na mtazamo mpya utakaopelekea utende tofauti na awali.

Amini dawa ya tatizo ulilonalo iko mikononi mwako,hivyo tengeneza time table itakayokuwa inakubana uwe bizy kila wakati,tambua hata sindano ni dawa nzuri lkn ili uipate tiba lazima upate maumivu ya kutobolewa mwili wako ili dawa iingie ili ikatibu tatizo ulilonalo,kikubwa tambua kuwa maumivu ni sehem ya tiba.

Hakikisha siku inapita bila kumpigia,kumuesms,wala kumtafta kuongea nae chochote kile,ni ngumu ila inawezekana maana hivyo tunavyokushauri ni experience tuliyowahi kuipitia.
Narudia maumivu ni sehemu ya tiba,ni ngumu ila inawezekana ukiamua ndio maana nikasema tibu akiri hata matendo utakuwa umetibu automatic
 
Yes atakomaa tu with time, tatizo hadi kufikia kukomaa atakuwa kaishalost kabisaaaa
Ndo ajiangalie tu asianguke, kuendelea tu kuumia pasipo sababu ya msingi hapana . Maana kuna watu mapenzi yanawaharibiaga maisha totally
 
Asante mkuu lakn nautoaje huu mwiba

hisia katika moyo wako haziwezi kuishi milele tena kwa mtu ambaye haonyeshi kukujali wala hata kukuwaza. Kusema utautoaje mwiba katika Moyo Wako nikukubali kuwa umeshindwa kitu ambacho ni kosa sana.

Hujazaliwa ukiwa nae bali ulimkuta tu.
Hakuzaliwa akiwa moyoni mwako bali ulikutana nae kila mtu akiwa na Akili zake..

Unaposimama na kusema unampenda kuliko mtu yoyote chini ya Jua ni Sawa na kumtusi mama Yako mzazi ambaye ndio aliyekuzaa na Kukufanya ukutane na Huyu mwanamke.

Ni dharau kubwa sana kuishusha thamani ya mzazi wako sababu ya Mwanamke tena mwanamke ambaye ameshindwa kuyaona Wala Kuyahurumia machozi Yako.

Mama unapoumia wewe naye huumia

unapolia na kuumizwa naye huumia pia

unaponyanyaswa na kusimangwa, yeye husimama upande wako..

Hulia na wewe na daima husimama na wewe...

Ondoa mawazo juu yake huyo mwanamke na jaribu kuupoteza muda wako kwa kuyafikiria masomo yako...


Siku Shauri uendelee na Huyo kwani natambua madhara yake na Mimi nilikuwa ni Mhanga wa tukio kama Hilo
 
Na wala hata yasikuchanganye hivyo mdogo angu ukapoteza focus na maisha yako. Inauma mnoo but jikaze, wewe ni mwanaume na jua thamani yako. Muache aende coz ni ngumu sana kumlazimisha mtu kukupenda

Asante dada'angu ntajitahid japo kumuona mara kwa mara kunanirudisha nyuma sana
 
hisia katika moyo wako haziwezi kuishi milele tena kwa mtu ambaye haonyeshi kukujali wala hata kukuwaza. Kusema utautoaje mwiba katika Moyo Wako nikukubali kuwa umeshindwa kitu ambacho ni kosa sana.

Hujazaliwa ukiwa nae bali ulimkuta tu.
Hakuzaliwa akiwa moyoni mwako bali ulikutana nae kila mtu akiwa na Akili zake..

Unaposimama na kusema unampenda kuliko mtu yoyote chini ya Jua ni Sawa na kumtusi mama Yako mzazi ambaye ndio aliyekuzaa na Kukufanya ukutane na Huyu mwanamke.

Ni dharau kubwa sana kuishusha thamani ya mzazi wako sababu ya Mwanamke tena mwanamke ambaye ameshindwa kuyaona Wala Kuyahurumia machozi Yako.

Mama unapoumia wewe naye huumia

unapolia na kuumizwa naye huumia pia

unaponyanyaswa na kusimangwa, yeye husimama upande wako..

Hulia na wewe na daima husimama na wewe...

Ondoa mawazo juu yake huyo mwanamke na jaribu kuupoteza muda wako kwa kuyafikiria masomo yako...


Siku Shauri uendelee na Huyo kwani natambua madhara yake na Mimi nilikuwa ni Mhanga wa tukio kama Hilo
Lee Cho in chukua huu ushauri kama ulivyo.
 
Last edited by a moderator:
Mtu yeyote hawezi kukubadili kitabia kabla hajakubadili kifikira ambapo utakuwa na mtazamo mpya utakaopelekea utende tofauti na awali.

Amini dawa ya tatizo ulilonalo iko mikononi mwako,hivyo tengeneza time table itakayokuwa inakubana uwe bizy kila wakati,tambua hata sindano ni dawa nzuri lkn ili uipate tiba lazima upate maumivu ya kutobolewa mwili wako ili dawa iingie ili ikatibu tatizo ulilonalo,kikubwa tambua kuwa maumivu ni sehem ya tiba.

Hakikisha siku inapita bila kumpigia,kumuesms,wala kumtafta kuongea nae chochote kile,ni ngumu ila inawezekana maana hivyo tunavyokushauri ni experience tuliyowahi kuipitia.
Narudia maumivu ni sehemu ya tiba,ni ngumu ila inawezekana ukiamua ndio maana nikasema tibu akiri hata matendo utakuwa umetibu automatic

Asante mkuu kwa kunipa mwanga
 
hisia katika moyo wako haziwezi kuishi milele tena kwa mtu ambaye haonyeshi kukujali wala hata kukuwaza. Kusema utautoaje mwiba katika Moyo Wako nikukubali kuwa umeshindwa kitu ambacho ni kosa sana.

Hujazaliwa ukiwa nae bali ulimkuta tu.
Hakuzaliwa akiwa moyoni mwako bali ulikutana nae kila mtu akiwa na Akili zake..

Unaposimama na kusema unampenda kuliko mtu yoyote chini ya Jua ni Sawa na kumtusi mama Yako mzazi ambaye ndio aliyekuzaa na Kukufanya ukutane na Huyu mwanamke.

Ni dharau kubwa sana kuishusha thamani ya mzazi wako sababu ya Mwanamke tena mwanamke ambaye ameshindwa kuyaona Wala Kuyahurumia machozi Yako.

Mama unapoumia wewe naye huumia

unapolia na kuumizwa naye huumia pia

unaponyanyaswa na kusimangwa, yeye husimama upande wako..

Hulia na wewe na daima husimama na wewe...

Ondoa mawazo juu yake huyo mwanamke na jaribu kuupoteza muda wako kwa kuyafikiria masomo yako...


Siku Shauri uendelee na Huyo kwani natambua madhara yake na Mimi nilikuwa ni Mhanga wa tukio kama Hilo
Asante my brother ntajitahid kadri ya uwezo wangu
 
Damu ipi? Watoto mna mabalaa nyie. Mfate kiongozi wa dini yako muelezee akusaidie kuondoa hicho kiapo. Msiwe mnafanya maamuzi magumu hivyo kisa tu mihemuko
Hicho ndo ambacho huw nawaza dada na ntafanya hvo
 
Asante my brother ntajitahid kadri ya uwezo wangu

Onyesha kutokujali na jaribu kujiweka katika Hali ya kawaida.. Ukiendelea kuonyesha Unyonge ataichukulia hali hiyo kama Fimbo Ya kuendelea kukuchapia...
 
Back
Top Bottom